Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Nimekuwa nikifuatilia hizi huduma
Ni ukweli kuwa, kuna watu wengi wamehamia kufanya huduma zao kwa wakala hasa walioko kwenye bank yetu pendwa na kuacha kabisa kwenda Bank na hata kama wakala yupo mlangoni mwa bank.
Nafikiri Bank inatakiwa KUJITADHMINI HUDUMA ZAKE na sio kuacha kutoa gawio kwa mawakala au kutoa gawio kiduchu huku ikisitisha kutoa machine kwa maana wateja wooote wataishia mitaani.
Hivi inakuwaje mtu asiye na elimu ya bank/fedha aatoe huduma nzuri sana kuliko mfanyakazi wa bank aliyesomea chuoni?
Ni ukweli kuwa, kuna watu wengi wamehamia kufanya huduma zao kwa wakala hasa walioko kwenye bank yetu pendwa na kuacha kabisa kwenda Bank na hata kama wakala yupo mlangoni mwa bank.
Nafikiri Bank inatakiwa KUJITADHMINI HUDUMA ZAKE na sio kuacha kutoa gawio kwa mawakala au kutoa gawio kiduchu huku ikisitisha kutoa machine kwa maana wateja wooote wataishia mitaani.
Hivi inakuwaje mtu asiye na elimu ya bank/fedha aatoe huduma nzuri sana kuliko mfanyakazi wa bank aliyesomea chuoni?