Nimekuwa nikifuatilia hizi huduma
Niukweli kuwa, kuna watu wengi wamehamia kufanya huduma zao kwa wakala hasa walioko kwenye bank yetu pendwa na kuacha kabisa kwenda Bank na hata kama wakala yupo mlangoni mwa bank
Nafikiri Bank inatakiwa KUJITADHMINI HUDUMA ZAKE na sio kuacha kutoa gawio kwa mawakala au kutoa gawio kiduchu huku ikisitisha kutoa machine kwa maana wateja wooote wataishia mitaani. Hivi inakuwaje mtu asiye kuwa na elimu ya bank/fedha aatoe huduma nzuri sana kuliko mfanyakazi wa bank aliyesomea chuoni?
Lililopo ni mawakala kutoa huduma nzuri au ni ukaribu wa kupata hiyo huduma.Nimekuwa nikifuatilia hizi huduma
Niukweli kuwa, kuna watu wengi wamehamia kufanya huduma zao kwa wakala hasa walioko kwenye bank yetu pendwa na kuacha kabisa kwenda Bank na hata kama wakala yupo mlangoni mwa bank
Nafikiri Bank inatakiwa KUJITADHMINI HUDUMA ZAKE na sio kuacha kutoa gawio kwa mawakala au kutoa gawio kiduchu huku ikisitisha kutoa machine kwa maana wateja wooote wataishia mitaani. Hivi inakuwaje mtu asiye kuwa na elimu ya bank/fedha aatoe huduma nzuri sana kuliko mfanyakazi wa bank aliyesomea chuoni?
Ukiachana na huduma ya ATM kwa wakala unatoa zaidi ya laki kwa mara moja tofauti na ATM na laki 4 mara 3 kwa siku.Nimekuwa nikifuatilia hizi huduma
Niukweli kuwa, kuna watu wengi wamehamia kufanya huduma zao kwa wakala hasa walioko kwenye bank yetu pendwa na kuacha kabisa kwenda Bank na hata kama wakala yupo mlangoni mwa bank
Nafikiri Bank inatakiwa KUJITADHMINI HUDUMA ZAKE na sio kuacha kutoa gawio kwa mawakala au kutoa gawio kiduchu huku ikisitisha kutoa machine kwa maana wateja wooote wataishia mitaani. Hivi inakuwaje mtu asiye kuwa na elimu ya bank/fedha aatoe huduma nzuri sana kuliko mfanyakazi wa bank aliyesomea chuoni?