Benno Kakolanya leo amenikosha

Benno Kakolanya leo amenikosha

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Aisee huyu Benno Kakolanya Leo amenikosha sana kwenye mechi na Mbeya City, ameonyesha uwezo mkubwa sana, kama sio yeye ngoma ingekuwa 3 - 3, kuna makosa ya wazi kabisa yamefanywa na mabeki wa Simba lakini Kakolanya amewaokoa.

Kakolanya ana uwezo wa kuwa kipa namba moja Azam fc endapo Simba watacheza makida makida, tunampenda bure Manula lkn huyu Kakolanya, ni habari nyingine kabisa.
 
bado anashida na yeye, kuna mipira mitatu ilikuwa ya kudaka kabisa yeye anatema kama team ipo vzr yangehesabika magoli,

lkn yupo vizuri anastahili pongezi.
 
Makolo wanakumbuka shuka wakati tayari kumekucha.
 
Aisee huyu Benno Kakolanya Leo amenikosha sana kwenye mechi na Mbeya City, ameonyesha uwezo mkubwa sana, kama sio yeye ngoma ingekuwa 3 - 3, kuna makosa ya wazi kabisa yamefanywa na mabeki wa Simba lakini Kakolanya amewaokoa.

Kakolanya ana uwezo wa kuwa kipa namba moja Azam fc endapo Simba watacheza makida makida, tunampenda bure Manula lkn huyu Kakolanya, ni habari nyingine kabisa.
Huo uwezo angeuonyesha tangu mwanzo wa ligi sasa hivi mngekuwa mabingwa....huo uwezo anaouonyesha sasa kipindi cha usajili ni danganya toto
 
Back
Top Bottom