Beno alitaka tu Tsh 65M na Mshahara wa Tsh 10M mkakataa, ila Mbrazili mbovu mmempa Tsh 400M na Mshahara wa Tsh 14M

Beno alitaka tu Tsh 65M na Mshahara wa Tsh 10M mkakataa, ila Mbrazili mbovu mmempa Tsh 400M na Mshahara wa Tsh 14M

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hivi Uongozi wangu wa Simba SC kwa huu Upuuzi na Upumbavu Watani zetu wakubwa Yanga SC wakitucheka na Kutuita Mbumbumbu FC tutakataa na Kuwanunia?

Beno Kakolanya aliipenda sana Simba SC na Kaondoka kwa Maumivu makubwa Moyoni kwani alichukiwa na Viongozi Wawili kwakuwa tu alikataa kuwapa 10% ya Mshahara wake kisha mkaanza Kumuumiza Kisaikolojia kwa Kumpanga Kipa namba Tatu Ally Salim na Kumuacha Yeye.

Laana yake Beno sasa inatutafuna na GENTAMYCINE nasema kama kuna sehemu ambayo itakuwa na Udhaifu mkubwa kwa Simba SC kwa Msimu huu basi ni eneo la Golikipa la Simba SC labda tu Makipa walioko wawe wanacheza huku wakiwa na Hirizi Golini ila naiona Hatari na tutalaumiana mno.

Hovyo kabisa...!!
 
Hivi Uongozi wangu wa Simba SC kwa huu Upuuzi na Upumbavu Watani zetu wakubwa Yanga SC wakitucheka na Kutuita Mbumbumbu FC tutakataa na Kuwanunia?
Na kama yanayosemwa ni kweli kuhusu huyu Brazil basi tumeumia sana. Sawa, Brazil wapo juu kisoka na tunaona wachezaji kama Gomez waliotoka ligi ndogo huko Brazil wakifanya makubwa hapa Bongo lakini Singida Big Star ni tofauti sana Simba. Hakuna justification yoyote ya kusajili Mchezaji wa Daraja la IV kwa sababu tu Soka la Brazil ni kubwa. Kutumia hoja kama hiyo, kwa timu inayotafuta ufalme wa Afrika ni sawa na kusema timu kama Al Ahyl, Raja, Wydad, Simba ni sawa na timu za ligi daraja la nne huko South America jambo ambalo sio kweli hata kidogo! Na kinachoniuma zaidi, uongozi ni kama umepatwa kiwewe na pesa zilizotolewa kwa ajili ya Super League na kuishia kuzitapakanya tapakanya tu. Kwahiyo hapa wakishajiridhisha kwamba hafai, waanze tena kuingia gharama za kuvunja mkataba.
 
Na kama yanayosemwa ni kweli kuhusu huyu Brazil basi tumeumia sana. Sawa, Brazil wapo juu kisoka na tunaona wachezaji kama Gomez waliotoka ligi ndogo huko Brazil wakifanya makubwa hapa Bongo lakini Singida Big Star ni tofauti sana Simba. Hakuna justification yoyote ya kusajili Mchezaji wa Daraja la IV kwa sababu tu Soka la Brazil ni kubwa. Kutumia hoja kama hiyo, kwa timu inayotafuta ufalme wa Afrika ni sawa na kusema timu kama Al Ahyl, Raja, Wydad, Simba ni sawa na timu za ligi daraja la nne huko South America jambo ambalo sio kweli hata kidogo! Na kinachoniuma zaidi, uongozi ni kama umepatwa kiwewe na pesa zilizotolewa kwa ajili ya Super League na kuishia kuzitapakanya tapakanya tu. Kwahiyo hapa wakishajiridhisha kwamba hafai, waanze tena kuingia gharama za kuvunja mkataba.
Hizi timu zetu wakati mwingine unajiuliza zina viongozi makini kweli?!
 
Hivi Uongozi wangu wa Simba SC kwa huu Upuuzi na Upumbavu Watani zetu wakubwa Yanga SC wakitucheka na Kutuita Mbumbumbu FC tutakataa na Kuwanunia?

Beno Kakolanya aliipenda sana Simba SC na Kaondoka kwa Maumivu makubwa Moyoni kwani alichukiwa na Viongozi Wawili kwakuwa tu alikataa kuwapa 10% ya Mshahara wake kisha mkaanza Kumuumiza Kisaikolojia kwa Kumpanga Kipa namba Tatu Ally Salim na Kumuacha Yeye.

Laana yake Beno sasa inatutafuna na GENTAMYCINE nasema kama kuna sehemu ambayo itakuwa na Udhaifu mkubwa kwa Simba SC kwa Msimu huu basi ni eneo la Golikipa la Simba SC labda tu Makipa walioko wawe wanacheza huku wakiwa na Hirizi Golini ila naiona Hatari na tutalaumiana mno.

Hovyo kabisa...!!
Uliwaambia wakupe Billion 2 uwasajilie wachache wakashupaza singo, haya angalia usajili wa kupitia Ali baba sasa ni vituko vitupu.

Bado Miquison nalo ni jipu, muda ndio utaongea.
 
Mambo ya kuiga siyo mazuri. Tatizo tunafanya kwa sababu mshindani wako kafanya hivyo, umakini kwenye swala zima la utafutaji wachezaji unatakiwa.
Uharaka wa kusajiri ili kujimwambafai kwenye jamii unatoka wapi?
Nikikumbuka picha zilizokuwa zinarushwa humu akiwa pre-seasons zinaonekana jamaa ni mzima kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom