Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hopeless and a Hypocrite at Work.Umesema ukweli
Leo ndo naona busara zako
Ukituliza kichwa unajenga hoja nzito
Ukiendelea hivi nitakoma kukuita jina lako la popoma
Tatizo alikosa elimu, elimu, elimu...Mbaya sana kimsingi Beno kapitia magumu mengi sana akiwa msimbazi
Unamuamini uyu mwendawazimu?Kama kuna ukweli ndani yake basi wahusika kwenye hilo wamekosea sana.
Shida haikua hela shida Beno alilizika kuwa namba mbili hakuonyesha kupambana ili ampite manula na kiwango kiliendelea kuwa cha kawaida tuuHivi Uongozi wangu wa Simba SC kwa huu Upuuzi na Upumbavu Watani zetu wakubwa Yanga SC wakitucheka na Kutuita Mbumbumbu FC tutakataa na Kuwanunia?
Beno Kakolanya aliipenda sana Simba SC na Kaondoka kwa Maumivu makubwa Moyoni kwani alichukiwa na Viongozi Wawili kwakuwa tu alikataa kuwapa 10% ya Mshahara wake kisha mkaanza Kumuumiza Kisaikolojia kwa Kumpanga Kipa namba Tatu Ally Salim na Kumuacha Yeye.
Laana yake Beno sasa inatutafuna na GENTAMYCINE nasema kama kuna sehemu ambayo itakuwa na Udhaifu mkubwa kwa Simba SC kwa Msimu huu basi ni eneo la Golikipa la Simba SC labda tu Makipa walioko wawe wanacheza huku wakiwa na Hirizi Golini ila naiona Hatari na tutalaumiana mno.
Hovyo kabisa...!!
Mwendawazimu ni Yule tu Aliyekuzaa.