Beno alitaka tu Tsh 65M na Mshahara wa Tsh 10M mkakataa, ila Mbrazili mbovu mmempa Tsh 400M na Mshahara wa Tsh 14M

Umesema ukweli
Leo ndo naona busara zako
Ukituliza kichwa unajenga hoja nzito

Ukiendelea hivi nitakoma kukuita jina lako la popoma
 
Umesema ukweli
Leo ndo naona busara zako
Ukituliza kichwa unajenga hoja nzito

Ukiendelea hivi nitakoma kukuita jina lako la popoma
Hopeless and a Hypocrite at Work.
 
Shida haikua hela shida Beno alilizika kuwa namba mbili hakuonyesha kupambana ili ampite manula na kiwango kiliendelea kuwa cha kawaida tuu

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…