πππππ kikubwa matokeo Mtani.Ukiona katika timu, mchezaji bora wako ni kipa, unatakiwa utambue kua;
1. Beki yako ni mbovu ndo maana mipira mda mwingi ipo kwake
2. Kiungo yako ni mbovu
3. Safu yako ya ushambuliaji nayo ni nyang'anyang'a
Kwa kifupi timu zima ni MBOVUUUU.
cc SokaChat Hajar Prince Kunta na kaka yao Mgagaa na Upwa
Roho inamuuma vibaya mno
Hahaaaa. Yambidi impoe tu sababu mpaka sasa ndivyo ilivyo.Roho inamuuma vibaya mno
Ndiyo naaani???BENNO DAVID KAKOLANYA
MICHEZO 7
CLEAN SHEETS 6
GOLI 1
*KAMA KUNA KIPA MWENYE RECORD KAMA HII MPAKA SASA NDANI YA LIGI KUU ILETE HAPA, NAACHANA NA SOKA KABISAAAA*View attachment 917084
sina ubishi na hilo , huyu peke yake alituzuia lunyasi 11 , sitamsahau .
Mpotezee huyo sembo hana jipya.πππππ kikubwa matokeo Mtani.
Mkuu nipe jipyaMpotezee huyo sembo hana jipya.
Well said.... Maana muda mwingi mpira unamfikiaUkiona katika timu, mchezaji bora wako ni kipa, unatakiwa utambue kua;
1. Beki yako ni mbovu ndo maana mipira mda mwingi ipo kwake
2. Kiungo yako ni mbovu
3. Safu yako ya ushambuliaji nayo ni nyang'anyang'a
Kwa kifupi timu zima ni MBOVUUUU.
cc SokaChat Hajar Prince Kunta na kaka yao Mgagaa na Upwa
Maliza kwanza uchaguzi nitakujuza.Mkuu nipe jipya
π³π³π³
Beno level yake Ally SALIM yule kipa namba tatu wa SimbaBENNO DAVID KAKOLANYA
MICHEZO 7
CLEAN SHEETS 6
GOLI 1
*KAMA KUNA KIPA MWENYE RECORD KAMA HII MPAKA SASA NDANI YA LIGI KUU ILETE HAPA, NAACHANA NA SOKA KABISAAAA*View attachment 917084
Hizo records ni za league ipi kwa Hapa TANZANIA?BENNO DAVID KAKOLANYA
MICHEZO 7
CLEAN SHEETS 6
GOLI 1
*KAMA KUNA KIPA MWENYE RECORD KAMA HII MPAKA SASA NDANI YA LIGI KUU ILETE HAPA, NAACHANA NA SOKA KABISAAAA*View attachment 917084