Beno Kakolanya ampa makavu mchambuzi uchwara David Felician

Sawa mkuu...Beno alikua anaitwa timu ya taifa...Je hiyo hoja ina justify kwamba Kiwango cha Beno kilikua bora kuliko cha Manula? Je ni nani alikua kipa namba moja wa timu ya taifa wakati Beno anaitwa?
 
Beno alikua bora kuliko Manura kwasababu ya clean sheet.
 
Anza kuweka picha yako.
 
Kwani Liverpool wakimtaka De Gea kwa Dau kubwa atakataa kisa kuna Allison?

Golikipa wa Arsenal Szczesny alienda Juventus yenye ushindani mkubwa golini Leo ndio number moja.
 
Shida ya wandishi na watangazaji wengi wa habari, ni kua ni watu wa matukio sio wafuatiliaji wa habari. Jana tu wakati mechi inaendelea Baraka mpenja alisema asubhi simba imecheza mechi dhidi ya simba B, Je, nani alikua golini? Ni kweli inawezekana wanamtazamo sawa lakini shida yao hawaandiki kuwasaidia ila wanaandika kuwagombanisha na wajiri wao. Nani amefanya uchanguzi wa kwa nini apangwi akaja na majibu ya moja kwa moja kutoka kwa kocha badala ya kuangalia nadharia zao tu.
Walifanya hivyo hata kwa Ndemla ili ahame timu, Shida uwa wanaogea sio kumsaidia mchezaji ila kumgombanisha na mwajiri wake
 
Umeongea vema mkuu, shida ya hawa wandishi uchwara wanatumia hiyo mianya kutaka kuwagombanisha na wajiri wao, hakuna anayeandika kiufundi au kutafuta sababu za kiufundi kutoka kwa benchi la ufundi ili waviandike viwajenge Wachezaji, zaidi ya kuandika ili kuwabomoa
 
acha kuandika upupu wewe, mambo ya demu wake mara Shafii yanausikaje hapa.
 
afike mbali zaidi ya hapo?
tumia akili basi mtu kama Kakolanya unataka awe kipa wa kimataifa na umri upi?
 
ndiyondiyo
 
Sijawahi kuona Mchezaji Pro anawajibu wachambuzi,washabiki wa Simba na Yanga wengi hawatumii akili,imagine anasifiwa alichofanya ha ha
 
unaandika utopolo daah
 
Sababu ipo.
Kuna wachezaji wangapi wapo benchi mbona hawasemi?..
Beno Hana shida pale Simba ndo maana unamuona hachezi lakini halalamiki.
MAANA MSHAHARA WAKE ANAPATA.
Pale yanga alikuwa anacheza lakini mshahara wake alikuwa HAPATI NDO MAANA ALIKUWA ANALALAMIKA.
Beno anachoangalia mwisho wa mwezi mshahara wake uingie.
Kazi ya yeye KUCHEZA au kutokucheza anajua kocha hyo sio kazi ya Beno.
BENO YUKO SAHIHI.
Hapa Beno Kakolanya Kapanic pasipo sababu
 
Huyo mchambuzi kwanini asiende ndanda kumuhoji shiza kichuya aliyetoka misri akaangukia ndanda?
Sijawahi kuona Mchezaji Pro anawajibu wachambuzi,washabiki wa Simba na Yanga wengi hawatumii akili,imagine anasifiwa alichofanya ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…