Duuh Wanaume wanazidi kupungua.
[emoji18] [emoji4] [emoji4] [emoji4]hahaha
uwe unaianga bas ukipotea ili nisiwe worried
JOSE SIJAELEWA, NADHANI HUYU MTU KATEKWA ANATESWA. SASA KOMENTI ZINALETA PICHA INGINEupumbavu wa hali ya juu
hiyo picha ina ubaya gani kwani?Mi nawaza huyo aliyempaka mafuta makalioni
ina ubaya gani .mnaficha makalio yenu kwani yana nini?Huwa nina mashaka na huyu KIJANA...!! wanao mjua VIZURI tunaomba mfunguke.....
Huu sio UANAUME...
Mtoto/kijana wa KIUME uwezi kuonesha MAKALIO yako katika HADHIRA ya walimwengu...!!
Ni Snura MushiMi nawaza huyo aliyempaka mafuta makalioni
Aiseee hata bado siamini kama kweli ni yeye amefanya hivi duuu.....
Huyu aliyempiga picha na kumpaka mafuta ni mwanamke au mwanaume mwenzie?