[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] sasa hivi laitwa jiwe pori... Na si Jaza ujazwe.......[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Jicho porii liko salama kweli...
Hahahahahahah.Labda kajisiliba mwenyewe, sio rahisi kujua.
....kama unayo mazuri zaidi ya hayo tuoneshe,Mnatamani matako yake?[emoji15]
Uwiiiiiiiiiiii lahaullah la kwatah siamin kama ni yeye
Ata kama muziki wa sasa unaendeshwa kwa kiki kijana na mwanamuziki unayeheshimika haupaswi kufika kiwango hiki cha upumbavu.
Tumia kipaji chako kipaji unacho haya mambo yakutumia mwili wako waachie kina amba lulu na gigy money.
Kweli mkuuu
Ata kama muziki wa sasa unaendeshwa kwa kiki kijana na mwanamuziki unayeheshimika haupaswi kufika kiwango hiki cha upumbavu.
Tumia kipaji chako kipaji unacho haya mambo yakutumia mwili wako waachie kina amba lulu na gigy money.
Taratibu mkuu!....kama unayo mazuri zaidi ya hayo tuoneshe,
..sie tutakupaka wese!
Hehe eti jicho pori,mkuu una maneno ya kufurahishs kweliJicho porii liko salama kweli...
Si ushamba tu ila ni hatari anavyotuonyesha vivutio vyanyumaMwanaume kuachia matako ni ushamba ukiopitiliza...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaa. nayaona matter core yametiwa asali