1.huyu mtu alitekwa na kufanyiwa mambo mabaya na akapigwa picha hiyo na account yake wakaihack sasa wao majamaa ndio wanaanza kurusha pichaa maana katika account yake ina picha moja tu ambayo ni hiyo
2: inawezekana anatoa wimbo ambao unahusu kutekwa kwa mawazo yako ila asilimiaa kubwa alishawahi kupgwa pichaa za uchi na kuihack account na kuanza kuchafuliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.