Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Huku Dodoma Amekuja na ameperform kwenye campaign Za MAVUNDE..Mgogo mwenzakeNadhani Hajawahi Ila Ni Mgogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku Dodoma Amekuja na ameperform kwenye campaign Za MAVUNDE..Mgogo mwenzakeNadhani Hajawahi Ila Ni Mgogo
MkuuHuku Dodoma Amekuja na ameperform kwenye campaign Za MAVUNDE..Mgogo mwenzake
Dodoma mjiniMkuu
Upo Dodoma Sehemu Gani?
Ni kweli that couple is no more tembelea page ya mdadaKuwa makini na tetesi, umbeya, ufisadi na ushengenyaji. Una uhakika na hii story yako? Maana juzi tu tumetoka kuona picha wakiwa wamefunga pingu za maisha. Hata mwezi haujaisha tayari wamemwagana? Hebu kajipange uje upya usije kuwa unajichumia dhambi za uzushi
Sijui kakutana na Nini Basi Wabongo tumsaidie Kudai Mali.Kwani hawakuchuma chochote pamoja huo mwaka???Nime comfirm wameachana officially, bibie na pEte katupa,ben sasa hvi kapoa kama mlenda, mashauz yote kwisha
Sijui kakutana na Nini Basi Wabongo tumsaidie Kudai Mali.Kwani hawakuchuma chochote pamoja huo mwaka???
DuuuhRumor has it , kuwa yale mahusiano yaliyokua na tashtiti mjini, kati ya mwanamuziki benpaul na mrembo kutoka kenya , Annerlisa ambaye katokea kwenye familia ya kitajiri , inasemekana mahusiano hayo hayapo tena na sasa hivi imebaki story tu .
Chanzo cha ubuyu kinadai wawil Hao walimwagana mda mrefu tu ila hawakutaka wanazengo wajue kitu kwa kuogopa vichambo kwenye mitandao.
Siku za hiv karibun benpaul amekua kimya sana tofauti na awali walipokua kwenye mahusiano, ambapo alikua akiishi maisha expensive sana pamoja na trip nyingi za US, Dubai , China na nchi nyinginezo ambapo sasa hiv imebaki tu historia
Sijui kakutana na Nini Basi Wabongo tumsaidie Kudai Mali.Kwani hawakuchuma chochote pamoja huo mwaka???