Tetesi: BenPol kulikoni na mpenzi wake raia wa Kenya?

Ni kweli that couple is no more tembelea page ya mdada
 
Nime comfirm wameachana officially, bibie na pEte katupa,ben sasa hvi kapoa kama mlenda, mashauz yote kwisha
Sijui kakutana na Nini Basi Wabongo tumsaidie Kudai Mali.Kwani hawakuchuma chochote pamoja huo mwaka???
 
Sijui kakutana na Nini Basi Wabongo tumsaidie Kudai Mali.Kwani hawakuchuma chochote pamoja huo mwaka???

Benpaul kwa kazi gan aliyokua nayo , ye mwenyew anaishi kwenye nyumba ya kupanga, Dem ndo kafanya aheshimike mjini ye hana mbele wala nyuma
 
Duuuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…