Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Angel Merkel HAKUWA Rais, bali "Waziri Mkuu" anayeongoza Serikali na sio nchi. Sijui umenielewa?Naunga mkono hoja ya Kigaila.
Mfano Germany hakuna kitu inayoitwa Ukomo wa Uongozi ndio maana Angel Merkel aliongiza Hadi akachoka na Nchi Iko poa kabisa.
Iweje Vinchi maskini kama Tanzania viwe vinahangaika na mambo ya Ukomo yasiyo na msingi?
Samia anatosha na chenji inabaki Hadi 2035.
View attachment 3177878
My Take
Mpaka hapo Mbowe ameshapita Kwa zaidi ya asilimia 80% 😆😆