Benson Kigaila ndie kiongozi pekee wa kizalendo CHADEMA atakayeidhibiti na kuinusuru CHADEMA

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Amefanya kazi nzuri sana pale BAZECHA na anaendelea kufanya kazi nzuri zaidi pale BAVICHA. Ni matumaini ya kila mwanachadema mzalendo kwamba, the field marshal matonya engr. Benson Kigaila hatakosea BAWACHA na kamati kuu kama kawaida yake, and the mission will be successful completed.

kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi atakataa matokeo ya uchaguzi wa uenyekiti wa chadema taifa kwasababu tu ya kuonekana kwa field marshal matonya engr Benson Kigaila akikatiza ndani ya chumba cha uchaguzi.

Hivi ukimuona huyo the man in a mission, the field marshal matonya, engr. Benson Kigaila, unapata picha gani kuuubwa inakuijia kichwani mwako?

Lema apuuzwe tu kama alivyokataliwa na kupuuzwa na wana Arusha 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Urafiki wa CCM na Mbowe umeibuka ghafla siku hizi
 
Kapicha tafwadhali.
 
Kila dakika unaleta upuuzi wako hapa, uchawa kazi sana.
Tafuta shughuli halali za kukuingizia kipato kuliko kujidhalilisha hapa jf kwa kuandika uharo kila dakika.
 
 
Kila dakika unaleta upuuzi wako hapa, uchawa kazi sana.
Tafuta shughuli halali za kukuingizia kipato kuliko kujidhalilisha hapa jf kwa kuandika uharo kila dakika.
umejawa na mihemko, makasiriko na chuki with nonstop, why gentleman? si unaumia moyo sana aise?

na ukweli lazima usemwe humu jukwaani maana hakuna namna nyingine sasa hata kama una makasiriko
 
Aisee
 
Tunaidai tigo hela zetu za fraud, tukizipata tutaijenga cdm isiwe ombaomba tena.
Nichagueni mzee wa kirukushani - wiki tu ccm hawapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…