Benz Neobus N10 340 VS Scania Gemilang 95 310

Benz ni overated , kwenye fuel consumption ipo powa Ila kwa mbio na nguvu haiwezi kuizidi scania, gari pekee ya kijerumani inayoweza kupambana na scania ni Man, japo nazo huwa hazina maisha marefu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaa.ni kweli maana ile sauli benz ilivyokuja ilikua inajaribu sana kukimbia na haikumaliza miezi miwili engine ikafa..likawekwa jiko la scania
 
Sina uzoefu na magari ila nadhani Benzi ni nyoko hasa kwenye ishu za kutembea....maana nyanda za juu kusini kampuni ya sauli ana Benzi yake moja DPC scania na michina yote wanaitambua shuguli yake ni nyoko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sauti ya manka imehudumu Dar Mbeya kwa zaidi ya miaka 8, kwa engine moja , Benzi ya sauli hata miaka miwili haikumaliza ikaua engine,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, fanya ufanyavyo niipate hiyo picha tafadhali.. Inanikumbusha mbali sana!
 
Mkuu hiyo najua na huyo dereva haendeshi tena gari lakini ujiulizi mbona bado kila siku yeye ni wa kwanza kufika mbeya yaani hata kama ataachwa nusu saa basi atawakuta na atakua wa kwanza nenda kaangalie mikeka yao utaona.
Scania ipo good sana, haiwezwi wekwa kundi moja na Shivo

ila pia tambua Sauli ni wacheza rafu sana, na je unafahamu kuna dereva wao amefutiwa leseni kwa overspeeding?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa kwenye Mlima sauli zile scania hazina puling ila zile zinawaacha sana wenzio kwenye tambarare na bumps husikii chochote hasa kile kioande cha mafinga-makambako
Ile DRH na DPN zote ni scania ....Japo dereva wa ile Benz anadai zile bus perfomance yake kwenye kupanda milima sio nzuri sana kama scania..ila tambarare kuikamata ni ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…