Benzema buana! Hii jamii inamatatizo sio kidogo

Benzema buana! Hii jamii inamatatizo sio kidogo

uwe hodari

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
4,045
Reaction score
8,608
Why Saidia Arabia

Benzema: because it's a muslim country, I'm muslim and i alyways wanted to live in a muslim country

Hawa watu wanakipaji cha unafiki

Kwamba benzema pale saudi arabia ndio kafika hawazi tena location nyingine?
 
Yupo na mwanae kante.
Ila jua unafiki upo kila kona achilia mbali na dini au race ya mtu.
 
Why Saidia Arabia

Benzema: because it's a muslim country, I'm muslim and i alyways wanted to live in a muslim country

Hawa watu wanakipaji cha unafiki

Kwamba benzema pale saudi arabia ndio kafika hawazi tena location nyingine?

Hapo kwa hayo maneno ashawachota akili yaani watammwagia pesa za kutosha halafu anaenda kujenga marekani, spain na ufaransa lakini hajengi saudia
 
Back
Top Bottom