Benzema kufikishwa Mahakamani na kufungwa miaka mitano jela akikutwa na hatia

Atakuwa amekiuka masharti ya kile chama au amegoma kujiunga nao, sasa wanatafuta njia kumregeza, tatizo watu hatujui tu kuwa usajiri wa hizi club kubwa huko ulaya na America ni zaidi ya usajiri wa kucheza mpira, na nazani hii ndio changamoto iliyomkuta Samata na Hashimu, wakiona hauko kwenye kile chama wanakuona sio mwenzao ni suala la muda watakufutia zengwe wakutoe au au vinginevyo ujiunge.
 
Nilisikia hata demba ba alikataa kilichofuata ni history baada ya hapo
 
Inaweza kua ni kweli🙁🙁
 

Chama kipi mkuu? Unamaanisha maswala ya RIBA AU?
 
Huyu kila siku yuko kwenye kashfa za ngono, kuna kipindi alishutumiwa kuwa alishirikiana na Ribery kupiga mtungo, Ribery alikubali kuhusika.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Huyu kila siku yuko kwenye kashfa za ngono, kuna kipindi alishutumiwa kuwa alishirikiana na Ribery kupiga mtungo, Ribery alikubali kuhusika.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Kuna makala ya Edo kumwembe aliongelea tofauti ya Zidane na wadogo zake akimaanisha hawa waarabu wa Africa waliozaliwa France (Nasri, Ben Arfa na Benzema).
Of course ukiamuacha Zidane hawa wengine wengi chenga na hawachelewi kulizua.
 
Huyu kila siku yuko kwenye kashfa za ngono, kuna kipindi alishutumiwa kuwa alishirikiana na Ribery kupiga mtungo, Ribery alikubali kuhusika.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Yes walikuwa kama watatu walifanya mapenzi na underage mtoto wa miaka 16 ambalo ni kosa kisheria. Benzema alijitetea kuwa hakufahamu kama yule binti ni underage. Wote waliondolewa kikosini na hawakucheza tena taifa mpaka kesho.
Wazungu wanapinga udhalilishaji wa kijinsia kivitendo haijalishi una kipaji gani.
Waalgeria ufaransa ni sawa na wamexico marekani, naturally ni jamii ya watu washenzi sana
 
Duh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…