TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Buriani Membe. Aliugua ghafla usiku au ilikuwa ni maradhi ya siku nyingi?
Lakini kwa umri wake miaka 70 huwezi kumwita kijana.
Halafu yenye ni kiongozi wa Kitaifa lakini hakwenda hospitali ya Mzena ingawa ipo equidistant na Kairuki kutoka pale nyumbani kwake.
Wale jamaa wakiamua hata ujifiche popote pale watakufikia tu,ilitakiwa kuwa hivyo


KWAHERI KACHERO MBOBEZI
 

Raia Mwema: Kampuni ya Yono yapigwa stop kuuza mali za Musiba
 
Nape Nauye waziri wa habari tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo Cha Rais Magufuli,kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.

Bado Zito Kabwe kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha Cha Kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae. Zito Kabwe atashihudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Ahahaaaaa

Mbona mtamalizana wote
 
mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu eeeh

acha watu wafurahi na wengine wasikitike kama inavyotokea kwa binadamu wote

membe ni nani mpaka wote wamlilie?

MWENDAZAKE

hata wewe inaonekana ni mmoja wa waliofurahia kifo cha mtu wao na leo ni zamu yenu na hatuko tayari kushare huzuni zenu

kila mtu acheze mechi zake

Mungu ni wetu sote.
 
Nape Nauye waziri wa habari tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo Cha Rais Magufuli,kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.

Bado Zito Kabwe kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha Cha Kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae. Zito Kabwe atashihudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Wengi walishangilia, kama unabisha muulize msiba.
 
Back
Top Bottom