Wale jamaa wakiamua hata ujifiche popote pale watakufikia tu,ilitakiwa kuwa hivyo


KWAHERI KACHERO MBOBEZI
 

Raia Mwema: Kampuni ya Yono yapigwa stop kuuza mali za Musiba
 
Ahahaaaaa

Mbona mtamalizana wote
 
mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu eeeh

acha watu wafurahi na wengine wasikitike kama inavyotokea kwa binadamu wote

membe ni nani mpaka wote wamlilie?

MWENDAZAKE

hata wewe inaonekana ni mmoja wa waliofurahia kifo cha mtu wao na leo ni zamu yenu na hatuko tayari kushare huzuni zenu

kila mtu acheze mechi zake

Mungu ni wetu sote.
 
Wengi walishangilia, kama unabisha muulize msiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…