[emoji1787][emoji1787][emoji1787], aiseeNa wewe jiandae kutwaliwa maana ulishangilia!
Kwanza kachero gani anajifia kizembe namna hiyo?
Mungu ameamua ugomvi!
Mungu fundi.
Walifirahi ni matusiNi suala la muda tu. Kila mtu atapata ujira wake tuendelee kusali na kuomba maana walifirahi sana kifo cha mkombozi wetu JPM
Asante Mkuu.View attachment 2618982
View attachment 2618983
Kwa sababu Binadamu yupo kwenye kundi moja na wanyama, Hivyo ni sahihi kusema Bwana Membe Kwa sasa ni Mzoga
Wale jamaa wakiamua hata ujifiche popote pale watakufikia tu,ilitakiwa kuwa hivyoBuriani Membe. Aliugua ghafla usiku au ilikuwa ni maradhi ya siku nyingi?
Lakini kwa umri wake miaka 70 huwezi kumwita kijana.
Halafu yenye ni kiongozi wa Kitaifa lakini hakwenda hospitali ya Mzena ingawa ipo equidistant na Kairuki kutoka pale nyumbani kwake.
Hivi kuna mwasiasa asiyetumia mvinyo kweli?Itakuwa Jamaa alikuwa hatumii vilevi na kuzingatia lishe Bora
... huyo ni mwema hafi huyo!
Ndio muache upumbavu mjue kilamtu atakufa.Kufa siyo kiboko bali kufa ni faradhi!!
Ni mtu mjinga tu anayewaza kwamba kufa ni udhaifu!!
Kwahiyo Musiba ni ntu ya kitengo?,Huyu kuna mtu kaposti twitter alienda kula lunch naye siku 3 zilizopita nadhani ni Serena Hotel kwa mandhari ya nje. Membe alikuwa fiti tu. Aisee, alikuwa anajiamini namna hiyo hadi kuagiza chakula hotelini wakati anajua ana unfinished business na mtu hatari kama Musiba?
AhahaaaaaNape Nauye waziri wa habari tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo Cha Rais Magufuli,kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.
Bado Zito Kabwe kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha Cha Kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae. Zito Kabwe atashihudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Wapo wengi Sana. ..MkuuHivi kuna mwasiasa asiyetumia mvinyo kweli?
Mchawi helaJamaa alikuwa hakui miaka 70 sura Kama Kama kijana wa miaka 30
kweli mkuuUkimweka na January Makamba utadhani January Makamba ni babu yake Membe.
hata mi nahamu ya kuona msoga wamepokeje so far hakuna aliepost 😁Mamlaka.
Sijui huko Msoga kuna hali gani muda huu.
Sura sio roho.
Wengi walishangilia, kama unabisha muulize msiba.Nape Nauye waziri wa habari tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo Cha Rais Magufuli,kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.
Bado Zito Kabwe kwani na yeye ni mmoja ya waliotoa lugha Cha Kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe nae. Zito Kabwe atashihudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.