We USITISHE WATU; UGOMVI WA MEMBE NA MSIBA NDIO UNANZA RASMI; MEMBE KAHAKIKISHA HATOI MSAMAHA NA ALIKATAAm, UPO mpaka hapo umenisoma
Mwendazake alishajiendea zake kitambo iliobaki history so usitishe watu. Na wewe kama unataka kafukue kaburi lake umfwate hapa hatishiki mtu. Haki itabaki kuwa haki nchi yetu sote; sukuma gang kwishnea, mtalipa deni hilo, alietakiwa kusamehe kaamua kufumba mdomo, ndio ujua chapter mpya inaanza mtalipa
 
Mkuu kama unaumiasana muambie mwenyekiti zzk akushauri chakufanya.
 
Watu wa kanda ile hujulikana madhalimu yoote dhidi ya ubinadamu hutokea kule!
 
Wewe vipi hufi, ushangilie usishangilie kifo kipo mbele ya kila mtu.
 
Aliyesema kifo cha nagufuli mungu ndo aliamua alikuwa nani bwashee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…