Huu ujumbe mtumie Nape na Makamba
 
Huo ushahidi unao? Make alishakufa hebu leta ushahidi wa hayo uliyoandika sasa, ila usizuie watu kufurahia kwa hisia zao,make wakati unasherekea kifo cha Magu wao pia walikuwa na uchungu huo huo, hivyo tulia wamalizemachungu yao, make na wao Mungu kawamulia huu ugomvi kimtazamo wao.
 
Kwa maana hiyo umeshakiri kuwa ulisherekea kifo cha Magu, sasa wewe ni kipi kinakuwasha wao kusherekea kma wewe ulivyofanya?
 
Tulisoma na watu wanatuzidi 10yrs, zamani ilitegemea mtu anatoka familia gani. Kuna familia hazikujali elimu, watoto walienda shule wakiwa 12yrs+ wakati wengine walianza na 7yrs.
 
Yaani nyie mliofurahi kipindi tunamzika Rais wetu Dr. Magufuli halafu Leo hii mnatuzuia kushangilia kifo cha ndugu yenu tunawashangaa sana.



Sasa nyie mnapaswa kufanya kinyume chake ili wajifunze utu na uungwana,

Sasa mnafanya yale yale tena?!

Ubinadamu kazi!

Hata hivyo matendo alofanya jamaa yenu sio sawa na ya Membe.
 
nyie si mna msiba nyie mbona hamtaki kumsahau mwamba ombolezeni basi achaneni na JPM
 
Kwamba hatalipa? Hiyo haitakaa itokee kwenye madai yake alijumuisha familia Sasa kama unavyojua Kuna Sheria ya mirathi "kukusanya na kulipa madeni yote ya marehemu"
Mkuu mbona Kuna haka kasheria kuwa
A decree in a civil matter dies with the Plaintiff/Decree Holder's death. It cannot be inherited or be put under administration of his/her estate.

Tuzo ya Mahakama ktk kesi za madai (za watu binafsi) hufa pamoja na kifo cha huyo aliyepewa. Hairithiwi au kuwa sehemu ya mirathi yake!! Hapa unasema Je...? Sio kwamba Musiba kaula? 😁 😁
 
Kifo ni funzo na toba
Mungu mlaze pema.
Tujalie pia mwisho mwema
 
Hehehehehehhehehehehehheheheheehhehehehehhehehehehhehehrhehhehrhrhrhhrhehehehehehgehegehehhehgeehheeheeeheeee majiiiraaaaaaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii njoon huku kimehappen kwa musiba nasemaaaaje Mungu fundiiiii ameamua msiba kwa musiba leo ni fyufyufyufyufyuuuuu tunasubiri watoto wa mjini mtulipe sisi ndo bangosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…