Sheikh, Sio maneno Mazuri Kes Binadamu Mwenzako aliyekuwa! Mzoga ?? Sio Vizuri. R.I. P Membe..JAMANI KUPIGA SELIFIIIII NA MUZOGA WA MEMBE SH NGAPI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji849][emoji879][emoji879][emoji879]
Kipindi hicho ni wakati nchi ikiwa na rais dhaifu sanaRIP Super BM
Ngoja nitoe kisa kimoja cha BM ambacho sitakisahau,
Nakumbuka miaka ya Nyuma aliwahi kumwalika yule mmakonde mkuu wa nchi moja ya visiwani(Anjouan) wa wakati huo mwaliko binafsi kwenda kule kijijini kwao na kumuahidi kwamba kuna fursa kibao,
Hakutaka kuwashirikisha wenye mkoa, siku moja kabla ikabidi utaratibu ufuatwe , maana mkuu wa nchi hawez kufika kwenye mkoa bila wenye mkoa kushirikishwa kuandaa taratibu za kiprotokali, wakapewa taarifa
Kesho yake yule mkuu wa Visiwani akafika na dege lake binafsi akapewa ulinzi, sasa kiutaratibu wa wakati ule alitakiwa apande gari la mkuu wa mkoa, lakin BM akalazimisha bendera itolewe kule iwekwe kwenye gari lake na ndilo ambalo yule mkuu alitakiwa apande(kwa mujibu wake yeye)
Yule Mzee Mchaga mwenye mkoa wake akaamua kuondoka kurudi ofisini kwa ushauri wa mkuu wa usalama wa mkoa(yule mzee muislam kipara), then baadae yule mkuu na BM wakaenda kusaini kitabu cha wageni tayar kwenda kuoneshwa fursa na BM,
Siku ile nakumbuka kulikua na matope sana na kama mnavyojua ardhi ya kule tena, mara Paap Rais wa watu alikua kavaa Cobaz akateleza nusra apige kichwa chini walinzi imara wakaokoa jahazi,
Kufika kwenye fursa akaoneshwa nyumba ya ukoo(nafikiri ya mjomba) wake BM, akashawishiwa ainunue ili ajenge sehemu ile maana mbeleni kuna miradi mikubwa ingekuja pale,
Wasaidizi wa yule mkuu, kuiona nyumba yenyewe na eneo ilipo(Kijijini haswa) wakapatwa na hasira na kumwambia yule mkuu waondoke kwa kua pale hamna chochote,
bhas kwa huzuni BM akakosa mamilioni ya yule mkuu wa nchi ile,
Na ofcourse alifedheheka na kuaibika sana, akaamua kurud mjini Daslam kinyonge kabisa,
Mwamba alikua anajiamini sana, RIP Super BM
Hamna lolote. Musiba ngozi ngumu. Kwa alivyoharibu wakati ule, sikutegemea kama hadi leo angekuwa hai.Kwa ninavyowajuwa Wamakonde kama kuna mkono wa mtu basi kabla ya Arobaini ya Membe lazima chuma kiitike.
Tunza hii comment.
Watu mchezoooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amekosea wapi hadi wamemuweza (changamoto ya kifua !!)
Huna kazi mwayaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nataman ningepata nafasi ya kumlinda Mhe. (waheshimiwa) Ila Mungu anamlinda Hamna shida.
Kuwa nyuma ya keybord isikufanye unawehuka,kwako unamuona ivyo lakini nyuma yake ni wengi wanaomtegemea,mfano wewe baba yako mzazi anafariki halafu anatokea mtu unamsikia anasema mbele yako huo mzoga wa baba yako unauzika,utajisikia,heshimu mtu hata yule usiyemjuaWakuu,mzoga wa huyo Fala unafukiwa lini?
Maana niko kusherekea hapa
Ameulaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mbona Kuna haka kasheria kuwa
A decree in a civil matter dies with the Plaintiff/Decree Holder's death. It cannot be inherited or be put under administration of his/her estate.
Tuzo ya Mahakama ktk kesi za madai (za watu binafsi) hufa pamoja na kifo cha huyo aliyepewa. Hairithiwi au kuwa sehemu ya mirathi yake!! Hapa unasema Je...? Sio kwamba Musiba kaula? [emoji16] [emoji16]
Makamba ,Nape na nyinyi mnao amini nadharia zao wote ni wapumbavu.Huu ujumbe mtumie Nape na Makamba
Vipi huwa unashikwa na hasira namna hii hata kwa wanaoshabikia kifo cha magufuli?Kuwa nyuma ya keybord isikufanye unawehuka,kwako unamuona ivyo lakini nyuma yake ni wengi wanaomtegemea,mfano wewe baba yako mzazi anafariki halafu anatokea mtu unamsikia anasema mbele yako huo mzoga wa baba yako unauzika,utajisikia,heshimu mtu hata yule usiyemjua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hehehehehehhehehehehehheheheheehhehehehehhehehehehhehehrhehhehrhrhrhhrhehehehehehgehegehehhehgeehheeheeeheeee majiiiraaaaaaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii njoon huku kimehappen kwa musiba nasemaaaaje Mungu fundiiiii ameamua msiba kwa musiba leo ni fyufyufyufyufyuuuuu tunasubiri watoto wa mjini mtulipe sisi ndo bangosha
Sasa nyie mnapaswa kufanya kinyume chake ili wajifunze utu na uungwana,
Sasa mnafanya yale yale tena?!
Ubinadamu kazi!
Hata hivyo matendo alofanya jamaa yenu sio sawa na ya Membe.
Dah! Dugange huko aliko hata haamini kama amesalimika. Maana wabongo kwa kupenda story za matukio, wote tutahamia kwa Mh. Membe.Dugange hoyeeee!
Wa NapeMungu yupi?
Acha kumsingizia Mungu.Nape Nauye, waziri wa habari, tayari amekaangwa na Mungu mbele ya macho yake kutokana na lugha zake chafu alizowahi kuzitoa baada ya kifo cha Rais Magufuli. Kauli ya kwamba Mungu ameamua ugomvi ilionekana wazi alishangilia msiba wa Rais wetu. Leo na yeye Nape ameonyeshwa namna ambavyo Mungu ameamua ugomvi wa Memba na Cyprian.
Bado Zito Kabwe, kwani na yeye ni mmoja wa waliotoa lugha chafu kwa hayati Magufuli kwamba anayempenda akazikwe naye. Zito Kabwe atashuhudia ukuu wa Mungu mbele ya macho yake.
Yupi huyo mkuuTuseme tu ukweli kifo chake kimezua maswali mengi. Na kutokana na hiki kifo chake, naamini yule Naibu Waziri atapumua.
π π πUgomvi wa Membe na Musiba uliamuliwa na mahakama kilichobaki ni hukumu kutekelezwa, kama mrithi wa Membe hatosamehe inamana Musiba lazima alipe
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]mzoga km mzoga unakutesaaaa??? Rahaa ya kukanda na wewe ukandweee kaa kwa kutulia maneno ya dhihaka mliyaanza wenyewe subirini sindano ziwaingie kwa umivu lile lile.Naomba Wanajukwaa tupunguze ukali kidogo kuhusu msiba huu wa Membe. Nimeona baadhi ya komenti za members huku wakiuliza mzoga wa Membe unazikwa lini sio mzoga ni mwili.Mods Mods Mods tafadhalini msikurupuke kunipiga ban bila kusoma nilichoandika. Tukutane Gamboshi badae wadau. Mods naona kwa makusudi mmeunganisha huu uzi kazi kweli kweli kwa hawa Moderators wetu tutafika kweli?View attachment 2618971