Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Mchawi ni MusibA, NO ONE ELSE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DoohAlisema Membe amsamehe Musiba kwa kuwa viongozi waandamizi wa dini wamemfuata (Membe) kumuombea radhi kwa niaba ya Musiba. Na kwamba asipofanya hivyo atajikuta pabaya
Bush lawyer, pesa za marehemu ni mirathi ya familia, vitu vikipigwa mnada pesa inakwenda kwenye account ya mahakama, baada ya mirathi Msimamizi wa mirathi anajaza fomu ya kugawanya pesa za marehemu zilizopo kwenye bank zote kwa wanufaika wa mirathi.Alipwe na Nani , halipwi mtu
hiiIs this for real?
tafadhal, hakuna tungo tata ya namna hii... kupumzika kwa amani ni kurudi kwa muumba wako.
@Victorie itabid uthibitishe hii Habari tafadhali.
Kakwambia yeye ndiyo kamuua?Kwa hiyo musiba anadhani hii ndio njia ya ku set aside exparte judgment?
Magundu amelirudisha taifa miaka 500 nyumaPoleni sana japo kwenye kifo cha mpendwa wetu Magufuli mlitucheka sana, Leo kwangu kesho kwako hayo ndio maisha