TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Alipwe na Nani , halipwi mtu
Bush lawyer, pesa za marehemu ni mirathi ya familia, vitu vikipigwa mnada pesa inakwenda kwenye account ya mahakama, baada ya mirathi Msimamizi wa mirathi anajaza fomu ya kugawanya pesa za marehemu zilizopo kwenye bank zote kwa wanufaika wa mirathi.

Endeleeni kudanganyana, Membe amejenga msingi mzuri wa kuwatia adabu waropokaji wote.
 
Is this for real?

tafadhal, hakuna tungo tata ya namna hii... kupumzika kwa amani ni kurudi kwa muumba wako.

@Victorie itabid uthibitishe hii Habari tafadhali.
hii
IMG-20230512-WA0049.jpg
 
Back
Top Bottom