christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Daaah! Mkuu unajaribu kutoa ufafanuzi, kila unapobanwa ukosi jibu.Tatizo furaha huwezi ukaizuia, utazuia kwa nje itabaki ndani sasa huo ni unafiki bora ionekane nje tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah! Mkuu unajaribu kutoa ufafanuzi, kila unapobanwa ukosi jibu.Tatizo furaha huwezi ukaizuia, utazuia kwa nje itabaki ndani sasa huo ni unafiki bora ionekane nje tu
Nimemjua siku nyingi ila sikumbuki lini aliteka watu, kuvunjavunja watu kwa marisasi, kukatakata watu mapanga, kuchukua hela za watu benki, kutukana watu wakalale na mavi yao nk nkWe umeanza kumjua baada ya kustaafu kumbe 🤣
JASUSI MEMBE kapigwa KATAFUNUA.
Yuko Jehanamu muda huu anaugulia ukuni wa moto.
Humjui Membe, nenda msibani ukazike ili umjue vizuriNimemjua siku nyingi ila sikumbuki lini aliteka watu, kuvunjavunja watu kwa marisasi, kukatakata watu mapanga, kuchukua hela za watu benki, kutukana watu wakalale na mavi yao nk nk
He he he umeanza kumkana zitto tena🤣🤣🤣I'm not in ACT....so huo msiba haunihusu kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukijua vya vile basi wenzio wanajua vya hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
This is totally lack of sympathyWapiii mzoga [emoji879][emoji879][emoji879][emoji879] wa maembe ....piga keleleeeeeeeeeere[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji125][emoji125][emoji125][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Acheni kupotosha, Sauli hakudondoka bali alifia vitani!.Mfalme daudi alifunga na kuomba ,Allah amteteee dhidi ya mtesi wake sauli ,mwisho wa siku sauli akadondoka na kupoteza uhai,japo daudi alisikitika lakini alimshukuru Allah kwa kujibu maombi yake ,na kumrejeshea amani Tena.
NB.Tupendane ,sisi sote ni watoto wa baba mmoja.
Wee kenge nenda msibani kaomboleze kifo cha jasusiKwakweli hata wafe kina membe 50,kwangu kufa yule jamaa muuaji kutoka chatle hata sasa nina furaha saaaaanaaaaa.Membe hana effect yoyote.Kwo kumfananisha na ******** muuaji ni KUTAFUTA namna ya kujifariji tu
Huwezi kuwa na hela na akili then ukajichanganya hovyo hovyo, ni washamba tu ndiyo huona wakifanya hivyo.Lowasa mjanja kama Putin ajichanganyi na watu hovyo hovyo. Ukiwa na appointment naye lazima uwe isolated for two weeks under close supavishen na kupimwa ndo utaonana.
Nani sasa unamwambia hapo? Wwanza kufuta kina nape makamba na wenzao wema hawafiNakuomba Sana, tafadhali kama utapata nafasi jitokeze hadharani uombe msamaha kwa dhihaka Ile na kama utaona aibu kuongea hadharani basi andika tu kwenye Twitter yako kuomba msamaha.
Ifute ni kauli mbaya ambayo ipo kwenye mioyo ya waliofiwa na huwa wanaikumbuka na kukushitaki kwa MWENYEZI Mungu.
Ahsante
Kama alikufa raisi watu wakagonga champagne na kusema Mungu kaamua ugomvi huku nderemo na vifijo vikirindima na matusi kedekede kwa mwendazake. Basi ni wakati wake nae kukinywa kikombe hicho kama marehemu mwingine yeyote.This is totally lack of sympathy
Hii ndio maana halis ya Mungu kuamulia ugomviCha muhimu Membe kashuhudia JIWE kufariki kwake. Kaenda kwa moyo mmoja na kwa amani.
Amani itoke wapiApumzike kwa amani....
Mwambieni Nape Atubu la sivyo Mungu atampiga katafunuaMungu ameamua ugomvi alijisemea Nape