This is totally lack of sympathy
 
Kwa kweli sipendezwi na hii tabia ya baadhi ya watanzania kusherekea vifo vya watanzania wenzao, sikupendezwa kipindi kile cha kifo cha mwamba JPM na sasa hiki cha Membe. Ni kama sasa watanzania tunaviziana na kuombeana vifo kati ya kambi na kambi na kuanza kusherekea pale kambi fulani inapofiwa, kama Taifa tunaelekea pabaya nawaomba viongozi wa dini watoke kulikemea hili apema wasiache likaendelea kuota mizizi kama walivyolinyamazia miaka hii takribani miwili. Itafika mahali tutasusiana misiba.
 
Acheni kupotosha, Sauli hakudondoka bali alifia vitani!.
 
Nani sasa unamwambia hapo? Wwanza kufuta kina nape makamba na wenzao wema hawafi
Mungu kaamua ugomvi na mengineyo
 
Wela wela wela welaaaaaaaaaaaaa nimehamkaaaaaaaah sasaaaaaaa 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 nasemajeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…