Hakuna cha kulipwa na likaoze huko kaburini
 
Poleni sana,safari yake imefikia tamati vita alivipigania mwendo ameumaliza salama.
 
Mkuu samahani mimi kiukweli nipo nyuma sana[emoji23][emoji23] naona watu wengi wanasema musiba atafurahi niwe mkweli tu sijui hata musiba anafurahi KWA sababu gani usinicheke sijui kweli[emoji23][emoji23] naomba nifahamishwe[emoji120][emoji120]

Wewe fukunyua tu mkuu…!!!
Kuna nyuzi humu utapata kila kitu, bahati mbaya nina majonzi ningekusaidia kufukua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…