Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,122
Amebaki kiongozi wa chama tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amebaki kiongozi wa chama tu
vipi mkuu, unataka tuanze kumtukana prof Baregu?Hahahhaha msiba wa CCM hautuhusu Chadema..... nyie malizaneni Ili 2025 ikute mmepukutika.
Ingawa sheria inalitambua deni, ila kuna asilimia kubwa sana ya hilo deni kusamehewa na famili. Yaani urahisi wa Musiba kusamehewa upo kwasababu mtu wa kuisukuma hiyo agenda hayupo tena.Bado heirs wake wata enforce judgment ya mahakama
Ingawa kisheria deni halijafutika ila hii ni ahueni kwa Musiba, kwasasa option nyingine zinaweza kufikirika kuliko Membe (mhusika) angekuwepo.Sasa Musiba kifo cha Membe ndio kitaondowa jukumu ya mahakama?
Hizo pesa ni mirathi ya familia, maumivu ya Musiba yako palepale.
Kama hicho kitu mnachohisi nyinyi kitakuwa na ukweli, hauoni kwamba bado kuna mmoja mwingine anaweza kunyofoka vilevile? Ikitokea hivyo hizo nguvu za kukazia watazitoa wapi?TENA ndipo watakazia zaidi...KWA uchungu wa hisia kuwa kuna jambo nyuma ya hichi kifo
Mambo hayaendi hivyo kwa hapa bongo, yanu hiyo ndio umeisha hivyo.Hukumu iko pale oale, haitenguliwi na mdai kufariki.
Warithi wataila hiyo hela.
[emoji23][emoji23]Akidai Mungu ataamua ugomvi
Hauna mali yoyote ya Musiba iliyouzwa mpaka sasa, kwa jinsi sheria yetu ilivyokuwa matundu si ajabu ukasikia kesi imerudi tena mahakamani na kwakua aliyekuwa anaipa nguvu kutokana na ukubwa wake serikalini hayupo, itakuwa ni ahueni kwa Musiba.Nikisema huna akili nitakuwa nakukosea?
Dalali anayeuza Mali anapewa kazi na mahakama na ana commission yake, sijui mlikwenda shule kufanya nini yarabi?
Ukiongea vitu vyepesi hua nakulaumu.Msiba wa MEMBE umesadifu mpasuko na chuki alizoziotesha magufuli.....
Magufuli alikuta taifa linaloahikamana, ameacha taifa lililogawanyika ....
Hauwahusi wakati DJ kazima mziki Sasa mnacheza ngoma ya BTHahahhaha msiba wa CCM hautuhusu Chadema..... nyie malizaneni Ili 2025 ikute mmepukutika.
DJ mwenyewe amesema anapingwa na wahafidhina.... Na wahafidhina ndio sisi so msidhani katushika akili hapa akizingua ataondoka tu kama Zitto au Slaa!!Hauwahusi wakati DJ kazima mziki Sasa mnacheza ngoma ya BT
hata kama kilikuwepo, kikubwa kubwa la wahuni limekufa.Mna uhakika nyaraka zilizotoka kwa viuongozi waliomwombea musiba msamaha hazikuwa na chochote chenye kudhuru?
Ah wapi anayeendesha ni Msiba! = deathWadanganye , watakufa huku wanaharisha
Nenda kafukie hukoAh wapi anayeendesha ni Msiba! = death