Uchaguzi 2020 Bernard Membe akiri barua inayosambaa mitandaoni ni yake

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kaandiki hivi kupitia mtandao wa twitter:

Barua inayosambaa ya tarehe 24/9 ya kujiondoa kwenye mbio za Urais ni ya kweli. Niliandika baada ya kutofautiana na msimamo wa Viongozi wangu wa kutaka nimuunge mkono Tundu Lissu. Hata hivyo barua hiyo ilikataliwa kwa sababu maneno " msimamo wa viongozi wangu" yanawatia hatiani.


 
Inawezekana anafanya hivyo kwa nia njema, pengine ni kukwepa vijisheria vya Tume.

Hata VIONGOZi wake wasingemuunga mkono Lissu mbona yeye hafanyi mikutano ya maana ,yenye nguvu ya kuutakabUrais kwelikweli?

Nadhani alipoona Lissu ana nguvu kumshinda hata mgombea wa CCm kaamua kujitoa kiaina.

Tusubiri muda utatupa majibu.
 
Huyu ataomba na kubembeleza kurudishwa CCM maana alifukuzwa.

Nadhani mwaka 2025 Wapinzani hawatorudia tena kosa la kuokota makapi kutoka CCM
 
Membe hawezi kuwa 'She' mheshimu hata kama humpendi.
Vijana baadhi wa Chadema hawana adabu! Huyo ni mmoja wapo. Na kwa msingi huo, kamwe mgombea wa Chadema hawezi kupewa uongozi wa nchi! Tunataka Taifa lenye heshima, hekima, busara na nidhamu ya kazi na ya utu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…