Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mkuu, Kwanini umemlimganisha Lissu na Membe ? Hukupaswa hata kufanya hivo na hatuwezi kumlazimisha watu wafanane. Membe ni mwanasiasa kwa definition tu ila Lissu ni mwanasiasa hasa, Membe kazi zake alizowahi kufanya hata haziendani na uongeaji wa kisiasa so hivo alivyo ni sahihi