Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha mbali sana.Mkuu naona unaanza kusahau mapema, ebu kumbuka enzi za hayati Dr John Pombe Magufuli akiwa waziri wa ujenzi!
Eti ametenga 10b za kampeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nchi yetu inavituko sana, huyu ni kituko mwingine!!
Ila jamaa alitisha sana, eti kampeni hapigi halafu akasema ushindi ni asubhi tu na akasubiria dk za mwisho hahahhhhha wanasiasa wa bongoland /Africa vituko tupu
Na asithubutu hiyo nafasi wako wengi wanaofaa sio Membe.Aliyekuwa mgombea urais wa ACT Wazalendo kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 na akaishia kufanya kampeni kwenye kijiji cha Rondo huku akijinasibu kuwa anataingia na kufunga goli dakika ya 90 bwana Bernard Membe, leo mbele ya waziri mkuu ametangaza kumuunga mkono rais Samia na kusema yupo tayari kuwa kampeni meneja wake kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.!
Bwana Membe huwa anapenda kujitwisha sifa ambazo hana ,ikumbukwe mwaka 2015 aliingia tano bora kwenye mchujo na kuishia kubwagwa hadi na kijana mdogo January Makamba!
Bwana Membe amekuwa waziri kwa miaka 15 lakini hakuna alichoifanyia nchi hii na wala hana legacy yoyote aliyowachia watanzania
Membe asema yuko tayari kurudi mahali fulani | Mwananchi - Membe asema yuko tayari kurudi mahali fulani
Nyie tulieni dawa iwaingieni vzr, ndo tayar yupoyupo sanaAliyekuwa mgombea urais wa ACT Wazalendo kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 na akaishia kufanya kampeni kwenye kijiji cha Rondo huku akijinasibu kuwa anataingia na kufunga goli dakika ya 90 bwana Bernard Membe, leo mbele ya waziri mkuu ametangaza kumuunga mkono rais Samia na kusema yupo tayari kuwa kampeni meneja wake kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025!
Bwana Membe huwa anapenda kujitwisha sifa ambazo hana, ikumbukwe mwaka 2015 aliingia tano bora kwenye mchujo na kuishia kubwagwa hadi na kijana mdogo January Makamba.
Bwana Membe amekuwa waziri kwa miaka 15 lakini hakuna alichoifanyia nchi hii na wala hana legacy yoyote aliyowachia Watanzania
Membe asema yuko tayari kurudi mahali fulani | Mwananchi - Membe asema yuko tayari kurudi mahali fulani
Huyo jamaa bado kakwama kwenye Awamu ya Polepole.Enzi za mwendazake zimeisha mjomba
Aibu kubwa sanaHuyo jamaa bado kakwama kwenye Awamu ya Polepole.
Huyu Mzee mpaka leo simuelewi aliposema atasawazisha bao dakika ya 90!!?