Tetesi: Bernard Membe na mtandao wao hawakufurahia uamuzi wa Rais Magufuli kununua korosho kwa wakulima tena kwa bei kubwa kuliko iliyopendekezwa

Watamwoneaje hapo, kwa nini wengine waliogombea mwaka 2015 zaidi ya 20 hawana shida iweje huyu Membe.
What goes around comes around.
Fact
Hili jibabu ovyo sana mpaka mchina wa congo kamstukia kuwa jamaa ni hovyo!
Mzimbabwe kamtema
Mchina wa congo kamtema
Rostam Aziz kmtema
Linjemba lina nyota ya ufukara!
Limesha zeeka na mifukoni jua linawaka
Bavicha magoti wataswepa sasa hivi mijitu ya njaa kali
Acha kunguni wawalize
 
Huu waraka umejaa majungu
Na wala huyo mwandishi wa walaka huo hajajua mateso na shida tunayoipitia wakulima wa zao la korosho lakini sio wakulima tu wanakusini kwa ujumla wetu korosho ndio uchumi wetu hivi tunavyoongea sasa mambo yoote yamesimama.

Hamna kinachokwenda na malipo yanasuasua mno kuna mkulima kapima mazao yake tar 20 Oct hadi Leo hajapata malipo yake
 
andiko la aina yua kina Musiba,Bashite,Lemutuz, Kangi lugola I bet among these pple mmohawapo ndo kaandika huu ujinga,,,very low....mpaka leo najiiuliza kwanini Jiwe anapenad saana kufanya kazi na vilaza...oh nilimsahau na jerry muro...au kwakuwa na yeye ni kilaza usemi wa ben saanane font fed
 
kwanza nikiri mleta uzi hujui lolote kuhusu korosho zaidi ya kusikia tu. ungekuwa unajua ungesema kosa la huyo bwana membe kwenye korosho ni lipi? pili ungebainisha huyo magufuli ameshanunua tani ngapi mpaka leo. kisha useme nani alitoa bei elekezi hapo kabla na je kuna muhindi yeyote (kampuni) ilikiuka hiyo bei elekezi?
kuhusu kangomba ambayo nyie mnadanganya watu kila kukicha hapa kwamba wawadhulumu wakulima je mnajua gharama za kuandaa shamba hadi ije kuwa korosho?
KOSA LA MEMBE NI LIPI? KILA SIKU MWATWAMBIA HAPA CDM HAKUNA DEMEKRASIA HUKO CCM KWENYE DEMOKRASIA MBONA MNAFUKUZANA NA KUTAKA KUUANA KISA MTU KASINGIZIWA KUTANGAZA NIA?
 
Nchi yetu kusonga mbele itakuwa ndoto sana kwani tunaendekeza sana majungu.
 
Hakika anatuhaibisha sana Mkoa wa Mara hatuko ivo, ni mkoa unao sifika kwa kutoa majemedari, wapiganaji na wazalendo wa nchi hii tena wanaotafuta haki kwa kupambana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…