Uchaguzi 2020 Bernard Membe ni kachero mtiifu kwa 'boss' wake Magufuli

Uchaguzi 2020 Bernard Membe ni kachero mtiifu kwa 'boss' wake Magufuli

Tukiachana na kutukana, vipi kuhusu kumtaja kwa jina? Umewahi kumsikia Membe akitaja jina Magufuli hata kwenye hoja za msingi zinazokinzana? Ushajiuliza ni kwanini?
Kwani ulishawahi kumsikia Magufuli akimtaja Tundu Lissu?
 
El Commandante BCM!!!!


Siempre Siempre John Pombe Magufuli.

Hasta la Victoria John Pombe Magufuli.

Aluta CCM!!
 
Kwa Chadema yaani hata ukikojoa bara barani ukiwa unapinga pinga wao wanaona ni sawa tu.
 
Sio Membe tu, Magufuli huwa hamtaji hata Lissu kwa jina.

Hizi ni kesi tofauti, kwa sababu Lissu yeye humtaja Magufuli kwa jina. Turudi kwa Membe.
Kwa hiyo kwa kuwa magu hamtaji Lissu basi Magu anakuwa mtii kwa Lissu?
 
If that is the case, kampeni atazifanyaje bila kutaja madhaifu ya Jiwe as part of his speeches? All in all, sidhani kama anakatazwa. Anakatazwa kutoa siri za ukachero! Kuwa tunafanyaga hivi na hivi ... ie deeds alizotumwa kuzifanya
 
Hawezi kulikata tawi alokalia mwenyewe. If you cant beat them, join them, au?
 
1. Sijawahi.

2a). Anaweza na anaruhusiwa kumtaja kwa kumpa HESHIMA.
b). Hawezi kumtaja kwasababu ana dili na Mambo ya NCHI sio ya mtu, inafaa zaidi kutaja taasisi mbalimbali za serikali badala ya kumtaja mtu.

3. Kwasababu naamini ni mtu makini anaetambua misingi ya utu na haki za binadamu, ikiwemo haki ya kuheshimiana hivyo hawezi kumtaja taja bila sababu ya msingi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Membe alisoma Political science anakuja siasa maana yake ni nini. Atatoa na kujibu hoja. Pia Membe ni mstaarabu wa kuzaliwa siyo mtu wa kitaa.
 
Inawezekana kuna ka ukweli.
Maana hata Lowasa hakuwahi kumsema Magu kwenye uchaguzi uliopita na kilichotokea tumekiona.
 
Membe Ni kibarska katuma upinzani Kama pandikizi kuja kuvuruga ,Kauli yake hii inatuibitisha and I quote tumejazs fomu kimyakimya bila mikutano kuepuka kuvunja sheria , maana yake kuwa Lissu kavunja sheria Membe anaitengenezea tume mazingira imkate Lissu ,Kauli hiyo hakukosea Ina mahessbu ndani yake.
 
Kachero ni kachero tu!

Najua sitavunja sheria wala kanuni hapa.

Bernard Membe, Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya ACT Wazalendo 2020. Historia yake ya kisiasa na utumishi inajulikana. Itoshe tu kusema ni Mtanzania ambaye amewahi kushika nyadhifa mbalimbali za kisiasa na kitaifa.

Tangu sekeseke lake na CCM/Magufuli litokee na kumfukuzisha uanachama, swali moja la msingi sana nimekuwa nikijiuliza ambalo pengine kupitia humu tunaweza kusaidiana kupata majibu.

Labda niulize; kwanini Membe hamtaji kabisa Rais Magufuli kwa jina lake katika kauli zake anazozitoa? Mara zote amekuwa akimtaja kama fulani, bwana yule au kumrefer kivingine bila kumtaja directly. Ni kama anakwepa kumtaja jina hata akiwa anatoa speech kinzani. Je, ni kwa sababu ana kiapo cha utii cha ukachero? Kiapo kinachomzuia kumkosea heshima boss wake?

Ikumbukwe, kanali Lubinga aliwahi kumuonya na kumtahadharisha Membe >> Kanali Lubinga: Membe anaweza kushtakiwa kwa kumshambulia Amiri Jeshi Mkuu. Akumbuke kuna Court Martial, aheshimu kiapo

Kama ndivyo, uwepo wake nje ya system una maana gani kama bado anatakiwa kutii kiapo?
Huyu kaja kupunguza kura za upinzani tu.
Anyhow hata hizo za mkulu nazo zitakua sio za kishindo kihivyo maana full kugawana.
 
Membe anaweza kujikuta akipata kura kiduchuu kama hataweza kuvisema vitu ambavyo wananchi wanataka kuvisikia kwenye kampeni zake.

kama ni koleo ita koleo - usiite kijiko kikubwa !!
 
Huyu kaja kupunguza kura za upinzani tu.
Anyhow hata hizo za mkulu nazo zitakua sio za kishindo kihivyo maana full kugawana.

Kwani wagombea wa vyama vya upinzani wapo wangapi? Kwanini Membe tu ndiyo agawanye kura za upinzani na siyo hao wengine?
 
Membe Ni kibarska katuma upinzani Kama pandikizi kuja kuvuruga ,Kauli yake hii inatuibitisha and I quote tumejazs fomu kimyakimya bila mikutano kuepuka kuvunja sheria , maana yake kuwa Lissu kavunja sheria Membe anaitengenezea tume mazingira imkate Lissu ,Kauli hiyo hakukosea Ina mahessbu ndani yake.
Huyu kaja kupunguza kura za upinzani tu.
Anyhow hata hizo za mkulu nazo zitakua sio za kishindo kihivyo maana full kugawana.
Mna uhakika? Yaani hata Zitto mpinzani wa siku zote naye mnashindwa kumuamini? Wasiomuamini Membe, basi wamuamini Zitto na Maalim Seif
 
Kwani wagombea wa vyama vya upinzani wapo wangapi? Kwanini Membe tu ndiyo agawanye kura za upinzani na siyo hao wengine?
Tunaangalia wenye mvuto kiasi.
Lipumba hana tofauti na mzee wa ubwabwa. Wengine wote taabani
Story ya mjini ni Lissu na Membe
 
Back
Top Bottom