Bernard Membe same old story

Nataka Sana kuamini Bernard Membe ana kitu 'interesting'anakuja nacho lakini nashindwa.

Nionavyo Mimi story ya Bernard Membe itaishia kule kule ilipoishia ya Lowasa na Mrema na wengine...

Umeandika ukweli mtupu. Wanajidanganya. Ataishia Kulia mwenyewe kama mtoto mdogo. System aliyoitumikia miaka yote na kuitetea sababu ilibeba malengo yake, imebadilisha gia juu kwa juu. Asipoangalia itamsambaratisha mazima
 
Mada Kama hizi ambatanisha na picha za karibuni za Bashite ziwe Kama appetizer. Kiba100.
 
Good analysis.

Hata wabunge wanaotaka kutetea viti vyao wengi huenda wakaishia nao kulalama wakati miaka mitano walikuwa na uweze wa kuweka sheria nzuri za uchaguzi

Ina maana anashindwa kuona hilo? Namsikitikia sana
 
Kila uchaguzi mkuu lazima aandaliwe "mtu mkakati" wa aina hii.
 
Membe ni walewale hana jipya hiyo Tume waliiona bora kwa sababu waliamini kuwa watapewa nafasi ya kuongoza nchi ila kwa sababu sasa hivi yuko nje ya mfumo ndio anaiona ina walakini angekuwa na maono angekaa kimya sasa anadhalilishwa haki na watu wadogo kama kina Musiba
 
Na yote haya ni kwa sababu...they never thought the same 'system' will marginalize them someday!!
 
How can he change the rules wkt hata hio fomu hatopewa?!
Walimuwahi...zengwe lile la kumfuta uanachama
 
Umeandika ukweli mtupu. Wanajidanganya. Ataishia Kulia mwenyewe kama mtoto mdogo. System aliyoitumikia miaka yote na kuitetea sababu ilibeba malengo yake, imebadilisha gia juu kwa juu. Asipoangalia itamsambaratisha mazima
To be honest sio Membe tu...bali Ccm wao kwa wao wataisoma namba humo ndani...upinzani is no longer an issue..wameshadhibitiwa
 
Kila mtu ni mbinafsi, ila Waafrika tumezidi. Yanayotokea ni kwa sababu ya ubinafsi wao, as a result what goes around comes around.
It is all coming down to 'Mh. ataamkaje siku hio'
Wananchi tunabaki wapendwa watizamaji
 
Katika watu wasioamini wanaccm mimi ni mmojawapo, wengi wao hawana uwezo wa kweli wa kufanya siasa, kwani udhaifu wao unajificha kwenye nguvu za dola. Hii inapelekea wanapokuwa nje ya nguvu za dola kuwa wadhaifu sana. Huyo Membe ni mmojawapo ya wanaccm wadhaifu kabisa, kwani bila mbeleko ya vyombo vya dola hana lolote.

Sioni Membe akipata lolote kutoka kwenye hizi kelele zake, kwani nguvu za kupita kiasi zilizo kwenye katiba kwa rais, pia zina baraka zake. Watu wanamshangilia tu ili alete mpasuko huko ccm kama ataweza, lakini sioni jipya lolote toka kwake. Wapinzani wasitegemee lolote kutoka kwa Membe, maana nguvu zake ziko ndani ya system, nje ya hapo ni kama bunduki isiyo na risasi.
 
Mungu apishe mbali. Amen
 
Membe: nina maadui sita nikishinda Urais watahamia kenya[emoji38]

Adui moja wapo wa membe alikuwa yupo Chadema subiri tuone

Hata Wewe utakuja kuwa victim,kama sisi basi kizazi chako. MATAGA unafikiria leo yako tu ukipita buku 7 unakesha hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…