Nataka Sana kuamini Bernard Membe ana kitu 'interesting'anakuja nacho lakini nashindwa.
Nionavyo Mimi story ya Bernard Membe itaishia kule kule ilipoishia ya Lowasa na Mrema na wengine...
Good analysis.
Hata wabunge wanaotaka kutetea viti vyao wengi huenda wakaishia nao kulalama wakati miaka mitano walikuwa na uweze wa kuweka sheria nzuri za uchaguzi
Swali lako ni zuri sana lakini anayetakiwa kuulizwa ni Lazaro mambosasaUlimlisha wewe?
Ulimlisha wewe?hawana mamlaka ya kumfukuza Membe uanachama , Mangula alipoleta kiherehere akalishwa sumu
Wewe unayedai ndiyo ujibuSwali lako ni zuri sana lakini anayetakiwa kuulizwa ni Lazaro mambosasa
Kabla ya mimi alianza MambosasaWewe unayedai ndiyo ujibu
Au wewe ndiyeKabla ya mimi alianza Mambosasa
How can he change the rules wkt hata hio fomu hatopewa?!Mkuu The Boss, nakupa kongole kwa hoja murua ambazo umezianisha. Lkn nafikiri ni lazima tuangalie mazingira ambayo matukio ya mabadiliko yanapotokea, hali kadhalika na usimamizi wake unavyokuwa.
Kipindi cha Mrema alikuwapo Mwl. Nyerere, ambaye aliweza kuzuia mabadiliko kwa hoja murua kabisa, na hata kuweza kumnadi barabara mgombea wa CCM aliyeteuliwa. Baada ya Mkapa lilikuja kundi la mtandao ambalo liliweza kufanikisha chaguo lao na hata kuweza kumpa JK hatamu za uongozi wa awamu ya nne.
Awamu ya tano imekuja kwa uongozi wa bahati nasibu. Hali ambayo ilitokana na wanamtandao kukosa mrithi wa JK na hatimaye kujikuta wote wakiikosa nafasi ya mmoja wao kumrithi mtu wao.
Ujio wa JPM ulikuwa kama embe dodo ambalo limeokotwa pasipo kutarajia. Hali ambayo imempelekea kuendesha siasa kwa hisia badala ya msingi ya chama. Sasa kinachokea kwake ni kuwa ametengeneza uadui na CCM Asilia na kuamua kuambatana na machotara wa siasa andamizi.
Mkuu, kwa vyovyote vile, tusijaribu kulinganisha jitihada na matokeo ya vita hivi vya kugombea madaraka kwa mazingira ya sasa ya kisiasa. Membe bado ni mtu muhimu ambaye anaweza kubalisha "rules of the game" za siasa za wakati huu hapa nchini.
To be honest sio Membe tu...bali Ccm wao kwa wao wataisoma namba humo ndani...upinzani is no longer an issue..wameshadhibitiwaUmeandika ukweli mtupu. Wanajidanganya. Ataishia Kulia mwenyewe kama mtoto mdogo. System aliyoitumikia miaka yote na kuitetea sababu ilibeba malengo yake, imebadilisha gia juu kwa juu. Asipoangalia itamsambaratisha mazima
It is all coming down to 'Mh. ataamkaje siku hio'Kila mtu ni mbinafsi, ila Waafrika tumezidi. Yanayotokea ni kwa sababu ya ubinafsi wao, as a result what goes around comes around.
Hata kwenye Democrasia kuna utaratibu mkuu, uvunjifu wa utaratibu hauwezi kuwa ni DemocrasiaCCM waoga tu wa demokrasia. Kama wanaamini wanapendwa waache kukamatakamata wapinzani waone mziki wake
Namnukuu Membe akihojiwa na DW jana:
"nisipopata haki yangu ya kugombea ndani ya ccm ntaitafuta nje ya ccm"
"unaweza kupanda basi toka mtama kwenda dar lakini ukishushwa njiani unapanda hata bodaboda kufika unakokwenda" mwisho wa kunukuu.
Membe anaenda ACT au chadema!
Wafuasi wa upinzani jiandaeni kudeki barabara zigo hilo laja.
Membe: nina maadui sita nikishinda Urais watahamia kenya[emoji38]
Adui moja wapo wa membe alikuwa yupo Chadema subiri tuone