Bernard Membe yu wapi jamani?

Yupo Zanzibar kukamilisha uapisho wa Makamu wa Kwanza!
 
Mimi kama mwanchi niliempigia kura mgombea wangu Bernad Membe ninaomba kujulishwa Mheshimiwa huyu yupo api. Au kasafiri. Mnielekeze
Ameenda Dubai kufuatilia mkwanja ili aendeleze kampeni za "chini kwa chini"!!!

cc Kazi & Bata -- "2020 lazima tumtoe bwana yulee Ikulu." ~ BCM
 
Jasusi Bobevu liko linaandaa Kalamu yake Wino Mwekundu...
 
Kachero Mbobezi Bernard Kamilius Membe
 
Mimi kama mwanchi niliempigia kura mgombea wangu Bernad Membe ninaomba kujulishwa Mheshimiwa huyu yupo api. Au kasafiri. Mnielekeze
Anamalizia Kutengeneza Filamu yake nyingine ambayo kama ikimalizika haraka basi atawavuruga tu zaidi Wapinzani Wote Muhimu nchini Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…