Omary Manjua
Member
- Nov 24, 2018
- 46
- 47
Bernard Morison ni Mali ya Simba, TFF wanachelewesha sakata kwa Maksudi, Mkataba wa Morison Simba waliupokea wao TFF halafu sasa hiv wanauchunguza tena hapo walivyotoa kibali kuwa Morison ni mchezaj wa Simba hawajauangalia huo mkataba?
Wasituzuzue sisi ni watu wenye akili zet na mpira wa kibongo tunaujua vilivyo hasa kwa vilub vya SIMBA na YANGA.
Wasituzuzue sisi ni watu wenye akili zet na mpira wa kibongo tunaujua vilivyo hasa kwa vilub vya SIMBA na YANGA.