Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 666
- 981
Achana nao hawajui mpira hao..Ila hawa berkane naowakawaida tu..Unaruhusu vipi goli tatu nyumban kwako hata kama umeshnda tano.Inaonekana wanafungua sana...Ngoja tuoneSo Long as Simba atakuja kucheza na Asec Ivory Coast basi hayo ndo yatakua marudiano yenyewe. Labda ieleweke tu kua hapo itakua ni kipindi atakachoanza hatua ya marudiano akiwa ameshacheza na Gendarmerie na Berkane.