Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe ondoka kwa dadako shemeji yako anashindwa kufaidi unyumba wakeKama nilivyo waeleza hapo awali.
Ni aidha aondoke Barbara Gonzalenz au Bernard Morrison. Hawa mafahali wawili wameshindwa ishi zizi moja.
Kaeni tayari Bernard ataendelea kucheza LIGIKUU Msimu ujao 2022/23.
Wakikujibu nitag.Huko kwenye timu yake ya Taifa nako wanamlilia kama hivi?
Timu ya taifa haina usajili wa timu zilizopo chini ya TFF.Huko kwenye timu yake ya Taifa nako wanamlilia kama hivi???
morison kamuomba Rais samia uraia wa tanzania,kasema yupo tayari kuchezea taifa stars
Ajiandae kuchukiwa na makolo nzima
Tanzania haiwez kutoa Uraia kwa Vichaa, pamoja na kipaji kizuri alichonacho Morison dishi lake haliko 100% perfectmorison kamuomba Rais samia uraia wa tanzania,kasema yupo tayari kuchezea taifa stars
Inaiywa "release letter""Kama nilivyo waeleza hapo awali.
Ni aidha aondoke Barbara Gonzalenz au Bernard Morrison. Hawa mafahali wawili wameshindwa ishi zizi moja.
Kaeni tayari Bernard ataendelea kucheza LIGIKUU Msimu ujao 2022/23.
Huyo mwehu mchukueni tu bwashee
Inaiywa "release letter""
Released letter ndo kande gani hizoKama nilivyo waeleza hapo awali.
Ni aidha aondoke Barbara Gonzalenz au Bernard Morrison. Hawa mafahali wawili wameshindwa ishi zizi moja.
Kaeni tayari Bernard ataendelea kucheza LIGIKUU Msimu ujao 2022/23.
Mwanaspoti au video global tv online kapiga magoti kabisaKweli? Nipe source
Wakikujibu hili swali nalala mchana huu mpaka kesho.Huko kwenye timu yake ya Taifa nako wanamlilia kama hivi???
Timu Nyingi za Afrika Magharibi bila kuwa na connection huitwi timu ya Taifa atakama unacheza Ulaya, Chupri ni nyingisana Afrika.Wakikujibu hili swali nalala mchana huu mpaka kesho.
Tumekuelewa Ahmed Ally.Kama nilivyo waeleza hapo awali.
Ni aidha aondoke Barbara Gonzalenz au Bernard Morrison. Hawa mafahali wawili wameshindwa ishi zizi moja.
Kaeni tayari Bernard ataendelea kucheza LIGIKUU Msimu ujao 2022/23.