Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Kuna somo gani hapo unaweza kuta percent ya mshahara anampa nabi makocha wengi wanafanya huo mchezo.Jamaa kaonesha kitu , na Nabi nae kaonesha kumkubali, najiulizaa ina maana Nabi kamuona huyu tu hadi kumpigania kupata namba? Jibu nadhani ni Ndio , hapa kuna somo kubwa sana
Hahahaha,somo kwa wachezaji wetuKuna somo gani hapo unaweza kuta percent ya mshahara anampa nabi makocha wengi wanafanya huo mchezo.
Africa gani hiyo?Morrison ni Balotelli wa Africa. Kipaji kingi utukutu mwingi.
Yaweza kuwa kweli waarabu huwa wana nasa kwenye kamtego kadogo sana.[emoji23]Hapo waarabu usikute wameangalia kigezo cha ndevu tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapo waarabu usikute wameangalia kigezo cha ndevu tu.
Africa ya mbaliAfrica gani hiyo?
Kuna ubaya gani kama wamekubaliana?Kuna somo gani hapo unaweza kuta percent ya mshahara anampa nabi makocha wengi wanafanya huo mchezo.
Yaani unataka kusema Waarabu wamemuona kijana anaienzi kwa vitendo Sunna ya Mtume wetu Muhammad (SAW) 😁Hapo waarabu usikute wameangalia kigezo cha ndevu tu.
KHahqhahq,umesababisha nicheke kwa nguvu isivotarajiwa aise.Hapo waarabu usikute wameangalia kigezo cha ndevu tu.
Hakuna la kujifunza zaidi ya unafki wa Nabi.Jamaa kaonesha kitu , na Nabi nae kaonesha kumkubali, najiulizaa ina maana Nabi kamuona huyu tu hadi kumpigania kupata namba? Jibu nadhani ni Ndio , hapa kuna somo kubwa sana
Utakaaje na mchezaji kama Morrison?Morrison anaujua vizuri mpira, shida yake ilikuwa nidhamu tu. Yanga haikupaswa kumwacha huyu jamaa afu unabakia na akina Mzize.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kuna projects ambazo ni failure, Mzize ni very average player, usitarajie kuna siku atakuwa tegemeo kama akina Mayele. Hapo alipo ndio kaiva.Utakaaje na mchezaji kama Morrison?
Unajuwa Morrison anacheza namba ngapi na hiyo nafasi yake kuna wachezaji gani?
Mzinze ni product ya Yanga kama alivyokuwa Mkude Simba, huwezi kumuacha ili ufurahishwe mtu kama wewe usiyejuwa Yanga wamewekeza kiasi gani kwake.
Mzinze bado hajaiva lakini bado anao muda wa kuleta furaha Jangwani akiongeza bidii.
How sure you are?Kuna projects ambazo ni failure, Mzize ni very average player, usitarajie kuna siku atakuwa tegemeo kama akina Mayele. Hapo alipo ndio kaiva.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app