Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Mchezaji wa Kimataifa wa Ghana mtukutu Benard Morrison au BM3 au Ben Maokoto au vyovyote vile utakavyomwita awajaza Waarabu kwenye Rada yake. Na hatimaye wamejaa.
Pamoja na kutokuwa na imani naye kutokana na faili lake kutokuwa zuri kwenye Timu zote alizopita kwa shingo upande AS FAR RABAT wamemkabidhi mkataba wa mwaka mmoja ambao unamfanya BM3 kuwatumikia mpaka mwaka 2024.
Baada ya kuona hawana mpango naye Mtukutu aliamua kuwaonesha uwezo wake uwanjani baada ya kubaini mapungufu ndani ya kikosi naye akapitia humo humo.
Huyu ndiyo BEN MAOKOTO akiamua anaweza.
Pamoja na kutokuwa na imani naye kutokana na faili lake kutokuwa zuri kwenye Timu zote alizopita kwa shingo upande AS FAR RABAT wamemkabidhi mkataba wa mwaka mmoja ambao unamfanya BM3 kuwatumikia mpaka mwaka 2024.
Baada ya kuona hawana mpango naye Mtukutu aliamua kuwaonesha uwezo wake uwanjani baada ya kubaini mapungufu ndani ya kikosi naye akapitia humo humo.
Huyu ndiyo BEN MAOKOTO akiamua anaweza.