Bernard Morrison (Ben Maokoto) awajaza kwenye rada Waarabu

Morison ni mchezaji mzuri lakini ukijumlisha mechi zote za msimu na dk chache anazocheza unaweza kukuta hafikishi hata mechi 8 na kwa msimu,kakaa kijanja janja tu
 
Morrison anaujua vizuri mpira, shida yake ilikuwa nidhamu tu. Yanga haikupaswa kumwacha huyu jamaa afu unabakia na akina Mzize.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Morrison matatizo yake ni ngumu ku deal nayo, bora angefanya anayofanya lakini anaonekana akicheza michezo mingi lakini kwakweli halipo hilo. Ni kama mtumishi hewa tu anakula mshahara na uwanjani mechi anazocheza zinahesabika.
 
Yaani Boko awalbishe mkono mabosi wa Simba ,! You must be kidding!
 
Kuna somo gani hapo unaweza kuta percent ya mshahara anampa nabi makocha wengi wanafanya huo mchezo.
Hata mimi nilitaka kusema hili. Huyu Nabi kamuweka benchi jamaa Yanga na kuna possibility kubwa report yake imechangia yeye kuachwa leo unaenda timu nyingine una mrecommend asajiliwe.
 
Ben mchezaji mzuri tatizo hana muendelezo wa kiwango kizuri na anachagua mechi za kucheza kwa juhudi kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…