REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Hii ni ndoto ya mchina hatokaa itimie, halafu imewakaa sanaWatu wanazungumza mambo ya maana wewe unatuletea vitu gani, hebu angalia hii picha hapa labda itafungua uelewa wako
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni ndoto ya mchina hatokaa itimie, halafu imewakaa sanaWatu wanazungumza mambo ya maana wewe unatuletea vitu gani, hebu angalia hii picha hapa labda itafungua uelewa wako
![]()
5 times bigger than Dar? Are you OK? Yaani pamoja na kwamba Dar port ipo kwenye expansion ya 12 more berths lakini hata kwa hali iliyonayo sasa bado Mombasa haiipiti kwa hata kidogo, they are almost sawa View attachment 1183804
Yaani ninyi na Mombasa yenu na Lamu zote zikamilike bado hamtokaa mfikie Tanzania total ports maximum length overall na draft kwa ports zote kubwa Tanzania ambazo ni Dar, Tanga, Zanzibar, Mtwara ambazo after all zote zipo kwenye major renovation and expansion to double all of them.Kenya sio LDC bwana ,tunao uwezo wa kulipa sisi sio kama Bagamoyo port imekwama kabisa .Go take the big log outta your eye 1st kabla kuja kutupangia mambo zetu .
Hahaha yaani kuna time wanakaa wanajilisha ujinga mpaka unawasikitikia 😂😂😂😂Hawa jamaa bongo zao kuna shida mahali [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha yaani kuna time wanakaa wanajilisha ujinga mpaka unawasikitikia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha yaani Dar port expansion ikikamilika itakua na ukubwa sawa na Mombasa na Lamu combined hizo ndio ports zote za Kenya zinakua zimeisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha yaani Dar port expansion ikikamilika itakua na ukubwa sawa na Mombasa na Lamu combined hizo ndio ports zote za Kenya zinakua zimeisha
Wakati Tanzania bado inakua na other modern ports kama Zanzibar, Mtwara, Tanga, Lindi, lakini kelele zao sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini ni ukweli mchungu sana, kwa hiyo tusiwalaumu sana 😂😅😂 najaribu kuvaa viatu vyao havinitoshi 😂😂😂😂😂Huu ndio ukweli ambao hawapendi kuusikia [emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini ni ukweli mchungu sana, kwa hiyo tusiwalaumu sana [emoji23][emoji28][emoji23] najaribu kuvaa viatu vyao havinitoshi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅😅😅😅 Dah aiseeNdio maana chuki na wivu zinaongezeka daily [emoji23][emoji23][emoji23]
https://www.worldatlas.com/articles/the-busiest-cargo-ports-in-africa.html5 times bigger than Dar? Are you OK? Yaani pamoja na kwamba Dar port ipo kwenye expansion ya 12 more berths lakini hata kwa hali iliyonayo sasa bado Mombasa haiipiti kwa hata kidogo, they are almost sawa View attachment 1183804
Ipo tofauti of being busy and being large
Kuna bandari ukanda huu ambayo inaizidi Mombasa kwa wingi wa mizigo? Hebu jaribu kutudanganya, bandari huwa inaitwa busy kwasababu ya wingi wa mizigo ambayo inapita kwenye bandari hiyo. Mombasa ni ya 8 Afrika, Dar haipo hata kwenye top 20.Ipo tofauti of being busy and being large
After all mnaongoza kuimport bidhaa Kenya, mind you 75% of all port cargo is destined to Kenya, hiko kipercent kinachobaki ndio kinaenda Uganda na kwingineko na Mombasa inahudumia more arrival cargo than departure
Hahaha yaani Dar port expansion ikikamilika itakua na ukubwa sawa na Mombasa na Lamu combined hizo ndio ports zote za Kenya zinakua zimeisha
Wakati Tanzania bado inakua na other modern ports kama Zanzibar, Mtwara, Tanga, Lindi, lakini kelele zao sasa 😂😂😂😂
Ni kweli mnaagiza bidhaa nyingi sana most of them ni food stuff na bidhaa nyingi kama nilivyokueleza, usijitia utaahira utafikiri hujanielewa my former reply, Tanzania haiagizi vitu hovyo, we only import essentials we don't produce na most of them are machines na construction consignments for infrastructure constructionKuna bandari ukanda huu ambayo inaizidi Mombasa kwa wingi wa mizigo? Hebu jaribu kutudanganya, bandari huwa inaitwa busy kwasababu ya wingi wa mizigo ambayo inapita kwenye bandari hiyo. Mombasa ni ya 8 Afrika, Dar haipo hata kwenye top 20.
When we discuss ports we focus on these factorsKwani unafikiria port za Mombasa na Lamu zimewacha expansion?
Lamu ikikamilika itakua 32berths
Mombasa 24berths currently 19
Dar after expansion 12.
Ni uwongo unatuambia au ?
Nakubaliana nawe Hii naona ni propaganda ya Manyang'au, wanapenda kupika takwimu na mambo ya kudhalilisha Tz.Mbona lamu ipo very isolated from the network, its like they could end in djibouti and everything would be fine, but they opted to include lamu, naona ni sababu wanajua wataimilika.