Shania Komba
Member
- Nov 9, 2018
- 21
- 9
Huyu mdau kapigwa picha na mtu aliyeita Taxify South Africa, jamaa katokea na taulo, halaf cha ajabu anafanana mno na Besigye. Kama si yeye basi duniani wawili wawili walahi 😀😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ni yule jamaa alikua anataka Uraisi wa Museveni, akawa anakamatwa kamatwa.