Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alisema eti demokrasia imebakwa...[emoji23][emoji23]
Kuna watu Mbingu wataisikia tu..πππKumbe watu wa kanisa mnajua mpaka ulawiti? Nimekuvulia kofia. π€£π€£
Wenye ushawishi....[emoji23][emoji23][emoji23]
1. Depal
2.@Lizzy
3. financial services
4. Chakorii
5. Joanah
Hawa wananishawoshi kusoma maandiko yao, hata kuzama DM kwa story moja mbili tatu
Kwa msaada wa Mungu nitaiona mbinguKuna watu Mbingu wataisikia tu..[emoji23][emoji23][emoji23]
Njia ya kwenda mbinguni minaijua iliyo wekewa lami, ukiwa tayari kwenda usiache kuni PM...πππKwa msaada wa Mungu nitaiona mbingu
Sina mpango wa kwenda motoni.
πππNdio yeye mwenyeweHuyo team 666 ndo yupi
Njia ipo kwa Yesu ambaye tunaadhimisha kuzaliwa kwake Leo.Njia ya kwenda mbinguni minaijua, ukiwa tayari kwenda usiche kuni PM...[emoji23][emoji23][emoji23]
πππAu comment yako ya "debe tupu" kwenye ule uzi alioanzishiwa Jane lowasa
mkuu lile bandiko la "mzee kuwalaza wageni vitanda vya hospitali " ndo limekubeba hapo nikaona hii hujuma ya wazi wazi ....π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1659057
Ha ha mkuu, ntazama tuu siku moja, nikipata cha kuzungumza, siyo mtu wa chit chat sana hata hivyo ndio maana...ninapenda your JF personaMbona mie hujawahi kuniPM mkuu [emoji4]
Asanteee kwa kupenda nachoandika
Mimi ni shida, lakini mzee alikua tatizo aiseeee....ππππmkuu lile bandiko la "mzee kuwalaza wageni vitanda vya hospitali " ndo limekubeba hapo nikaona hii hujuma ya wazi wazi ....π
Acha kunibania basi πMkuu, hao wote wanaume...ππ
ππππππππAcha kunibania basi π
Asante kwa kupenda mwandiko wangu brother..Wenye ushawishi....[emoji23][emoji23][emoji23]
1. Depal
2.@Lizzy
3. financial services
4. Chakorii
5. Joanah
Hawa wananishawoshi kusoma maandiko yao, hata kuzama DM kwa story moja mbili tatu
Hapo kwa hiyo listi naona ni jamaa mmoja tu ndo huwa hakimbii,hata michango yake pia inasomeka kwa wenye akili ijapokuwa sometimes analeta michango isiyo na maana coz hakuna mwanadamu mkamilifu na ukipambana naye hoja kwa hoja ukikaa vibaya anakupa knock out inabid uwe sawa kichwani pia na kimalkia pia anakimudu vizuri,so yuko vizuri jamaa apo..... nafikiri kajulikana tayari