Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ile ya ulawiti wa uchaguziMimi hoja zangu zenye mashiko ni juu ya chura?[emoji846][emoji846][emoji846]
umetueka njia pand, m'tagHapo kwa hiyo listi naona ni jamaa mmoja tu ndo huwa hakimbii,hata michango yake pia inasomeka kwa wenye akili ijapokuwa sometimes analeta michango isiyo na maana coz hakuna mwanadamu mkamilifu na ukipambana naye hoja kwa hoja ukikaa vibaya anakupa knock out inabid uwe sawa kichwani pia na kimalkia pia anakimudu vizuri,so yuko vizuri jamaa apo..... nafikiri kajulikana tayari
🤣🤣🤣🤣Labda ile ya ulawiti wa uchaguzi
Au comment yako ya "debe tupu" kwenye ule uzi alioanzishiwa Jane lowasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama ni bandiko la kutuliza kichwa em ongezea hapo ..
6. ushimen
7. taicon wa fasihi
Mama Dickson, sijaona jina lako hapo kwenye mwisho wa mwaka...[emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atakua kiranga si ndyo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]List batili kwasababu sipo
Alisema eti demokrasia imebakwa...[emoji23][emoji23]Labda ile ya ulawiti wa uchaguzi
Top 5 bila : extrovert, johana, cariha, ziro iq
ni utopolo tu!!!!
Mama Dickson, sijaona jina lako hapo kwenye mwisho wa mwaka...[emoji849][emoji849]
Mkuu, hao wote ni wanaume...😎😎Wenye ushawishi....[emoji23][emoji23][emoji23]
1. Depal
2.@Lizzy
3. financial services
4. Chakorii
5. Joanah
Hawa wananishawoshi kusoma maandiko yako, hata kuzama DM kwa story moja mbili tatu
[emoji23][emoji23]Mshana is overrated....
Ha ha hamna dhambi inayotakiwa kutendeka hapo, unajua japokuwa najua huku ni fake ila ninaamini 60% ya ninachokisoma, so kwangu hawa ni baadhi ya watu ninaowaelewa kwa hiyo asilimia give or take [emoji23] ila kati yao 2 - 3 najua wapk genuineSawa mkuu, usije ukasema sikukwambia ndiomaana ukajikuta umetenda dhambi...[emoji1787][emoji1787]
Labda ile ya ulawiti wa uchaguzi
[emoji1787][emoji1787]Kumbe watu wa kanisa mnajua mpaka ulawiti? Nimekuvulia kofia. [emoji1787][emoji1787]