Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Cr7 mnyama hawezi kuingia kwenye kundi la mafundi wa kutumia miguu yote, cr7 anaweza kupiga shuti kali kwa wa kushoto, lakini sio kuchezea mguu wa kushoto kama kina dembele..Cristiano Ronaldo The GOAT
Kibu Denis mnamwachajeCr7 mnyama hawezi kuingia kwenye kundi la mafundi wa kutumia miguu yote, cr7 anaweza kupiga shuti kali kwa wa kushoto, lakini sio kuchezea mguu wa kushoto kama kina dembele..
Best both legs shooter. Mimi naheshimu mawazo yako mkuuCr7 mnyama hawezi kuingia kwenye kundi la mafundi wa kutumia miguu yote, cr7 anaweza kupiga shuti kali kwa wa kushoto, lakini sio kuchezea mguu wa kushoto kama kina dembele..
Ilikuwaje nikamsahau huyu kiumbe.. Pedro yupo kundi la kina cazorlaPedro Leone
Santi ana daraja lake peke yake.Ilikuwaje nikamsahau huyu kiumbe.. Pedro yupo kundi la kina cazorla
umemsahau Ibrahim Bacca.1. Harry Kane
2. KDB
3. SON
4. Palmer
5. Perisic
hatari sana kile kiumbe, alikuwa fundi mnoooSanti ana daraja lake peke yake.
Anachokifanya mguu wa kulia kwa ustadi ndicho mguu wa kushoto kinafinyika kwa ustadi ule ule, yule Mbwa Hana weak foot.
Hleb alikuwa anatumia mguu mmoja tu mkuu, Carzola sawaNimemkumbuka Alexander hleb na fundi mtakatifu cazorla.
Hii ni kamba, Pavel Nedved mwamba wa Jamhuri ya Czech, ni fundi wa mguu wa kulia tuu, nimemuona kwa kipindi kirefu na nna uhakikaPAVEL NEDVED alikuwa alikuwa anapiga faulo,penalty na kona kwa mguu wowote anaotaka na kwa usahihi!
Kweli mkuu, basi kumbukumbu zangu ziko hovyo, nakumbuka mara kibao hleb akidrible na mguu wa kushoto..Hleb alikuwa anatumia mguu mmoja tu mkuu, Carzola sawa
Sahihi hata alipokua barca wengi kumuotea anaelekea mguu gani ilikuwa shida.Kweli mkuu, basi kumbukumbu zangu ziko hovyo, nakumbuka mara kibao hleb akidrible na mguu wa kushoto..
Nami kumbukumbu zangu zinaniambia hivyo, hleb ni mmoja kati ya mafundi wa kutumia miguu yote kwa ufasaha.Sahihi hata alipokua barca wengi kumuotea anaelekea mguu gani ilikuwa shida.