Best female artist wa Tanzania!!

Kwa mujibu wa takwimu confidential kutokea network assessor wimbo wa pekecha ndio unaongoza kwa kutumiwa Kama caller tune!
 
Huwa nakukubali Sana genius wa JF Hawa wengine wamekariri mziki ni Mandi au zuchu!
Mi siyo producer wa muziki ila sauti yake ni powerful sana, akipata producers and promoters wakati tutamsikia anga zingine kabisa mkuu, sio kama nampamba au nini ni kitu alichonacho. all she needs is promo/guidance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…