Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio Mimi hizo ni takwimu tuu! East Africa nzima inakubali kwanini wewe umpinge njoo na facts!
Unawafahamu music critics mkuu!ukiongelea numbers mkuu at least uje na peformance yake katika online platforms kama youtube, show alizofanya na review zake pamoja na kuangalia mega hits alizofanya
I love saraphina, yupo talented na ana back up ya clouds ambayo ni faida kwake. Ila kwa mwaka huu ni battle ya Nandy na Zuchu kwa wasanii wa kike
Hata mimi naweza kuwa music critic ila kinachotutofautisha ni credibility. Labda uniambie kama wapo walio credible ambao siwajuiUnawafahamu music critics mkuu!
Unaonekana unauelewa sasa nimesema music critics wa east Africa ndio wamesema ni msanii Bora wa kike Tanzania kwa Sasa kulingana na vigezo!Hata mimi naweza kuwa music critic ila kinachotutofautisha ni credibility. Labda uniambie kama wapo walio credible ambao siwajui
Shukrani ila hao music critics ndio naniUnaonekana unauelewa Sasa nimesema music critics wa east Africa ndio wamesema ni msanii Bora wa kike Tanzania kwa Sasa kulingana na vigezo!
Uko sahihi 100% Kuna takwimu za Siri zinacirculate chini chini kuwa ndiye anaongoza kwenye mauzo ya caller tune kwa wasanii wa Tz.Shukrani ila hao music critics ndio nani
maana U.S.A wana music charts na pia wana_rate albums au nyimbo kutokana na mauzo yake katika copies za kawaida na online, circulation katika media.
Pia wapo critics ambao wapo katika music industry pengine ni producers au watu wenye elimu kubwa ya muziki, ambao wao huchambua wimbo kitaalamu kuanzia lyrics, vocal range etc .kitu ambacho sijui kama kipo East Africa labda unijuze mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata kama unamkubali huyo uliyempost
Isiwe sababu ya Afrikani prinsensi wetu NANDY kumuita MANDI!!
Sasa mkuu ushasema takwimu za Siri, Sasa imekuaje wewe ukazijua kama ni za Siri? na sie tuta amini vipi hizo takwimu za Siri ilhali takwimu za wazi zinamkataa msanii wakoUko sahihi 100% Kuna takwimu za Siri zinacirculate chini chini kuwa ndiye anaongoza kwenye mauzo ya caller tune kwa wasanii wa Tz.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata kama unamkubali huyo uliyempost
Isiwe sababu ya Afrikani prinsensi wetu NANDY kumuita MANDI!!
Hivi zuhura ana maajabu gani eti....kwahyo huyu anawapiku , demu wa bilinasiii na zuhuraa wa dablyuuusibiii
At least shabiki wa man u unaujua mziki mzuriMaua Sama ndo Best Female artist as of now in my opinion.
Saraphina ndo anayejipa jingle za top hour clouds..lazima wambebeukiongelea numbers mkuu at least uje na peformance yake katika online platforms kama youtube, show alizofanya na review zake pamoja na kuangalia mega hits alizofanya
I love saraphina, yupo talented na ana back up ya clouds ambayo ni faida kwake. Ila kwa mwaka huu ni battle ya Nandy na Zuchu kwa wasanii wa kike
Saraphina ndo anayejipa jingle za top hour clouds..lazima wambebe
Hujakosea , maua Sama mashine SanaMaua Sama ndo Best Female artist as of now in my opinion.
Zuchu kinachombeba ni uandishi mzuri anajua kuipangilia mistari na ikasikilizika,ana vina vya kati na mwisho.nadhani hiki ndicho kinachowabeba WCB kwani wasanii wake wanatumia utundu huo (hapo naongea kama mwana hip hop) suala la sauti na melody huko mimi sio mtaalamu sana. Mimi napenda kusikiliza hip hop ngumu lakini wimbo wa zuchu "raha" uko kwenye playlist yangu na huwa nausikiliza siuchoki na sio kwa sababu ya sauti ya zuchu hapana ni mpangilio wa mashairi ya wimboHivi zuhura ana maajabu gani eti....
Niambie nyimbo gani ya Zuhura inaufikia japo kidogo wimbo wa EX remix wa Mimi mars....
Mbona unatumia nguvu nyingi kumpa promo mtu wako ?Uko sahihi 100% Kuna takwimu za Siri zinacirculate chini chini kuwa ndiye anaongoza kwenye mauzo ya caller tune kwa wasanii wa Tz.