Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho Saba tukiachilia NAKUPENDA HIPHOP na WAITE POLISI, ana ngoma gani nyingine??Geez Mabovu na Roho saba hawamo?
Geez pia ni mkali sana ila binafsisioni akiwa na ngoma nyingi. Kwa mfano hapo juu nimemuweka mtu kama Balozi Dolla Soul ingawa pia hakua na ngoma nyingi.Geez Mabovu na Roho saba hawamo?
Nikki mbishi ni over rated mc wa watu wanaoamini kwenye hip hop asiliNa Chidbenz kuwa juu ya Nikki mbishi jaribu kufanya tathmini tena may be umefanya conclusion ukiwa umebase kwenye upendo ila tukiangalia facts Chidbenz adeserve kuwa juu ya Nikki mbishi.
Usitake kila mc avume ndo afikie vigezo unavyovitaka.Nikki mbishi ni over rated mc wa watu wanaoamini kwenye hip hop asili
To be honest napenda sana muziki lakini siujui wimbo hata mmoja wa Nikki mbishi kama ninavyo zijua za Chid benz
Hawa wako ulimwengu tofauti kabisa mkuu, enzi za Chid Benz alikua anajaza show, man alone. huyo Nikki hata ukiweka bure baa nani atakwenda? Labda abebwe kwenye matamasha
Nikki atabaki msanii wa mtaani tu àmbaye kipaji chake haki msaidii ku make money and fame..... hili ndio lengo
Hata USA kuna jamaa mitaani wanachana balaa hadi wakina Nass jay z nk wanasubiri
Lakini hawawezi kutajwa ma Mc wakali kuliko akina Jay z
NdioRoho Saba tukiachilia NAKUPENDA HIPHOP na WAITE POLISI, ana ngoma gani nyingine??
Wenyewe mnaita ma Mc wanaofuata nguzo tano za Hip Hop......Usitake kila mc avume ndo afikie vigezo unavyovitaka.
Dunia ipo hivyo sio kila mtu atafanana na mwenzie ndomna kuna mainstream mcs na underdowgs kila sehem ipo hivyo.
So wakati wewe ukisema mbishi sijui hatojaza ukumbi wakati kuna raia hawakosi kumsupport kwa kazi zake.mwisho wa siku kila mtu abaki na kusikiliza na kusupport anachopenda na sio kutaka mc afanane na wengine kwa ajili ya fame nk
Would you be so kind to share them with me?Ndio
Kuna "Crazy" na "Stay Focus" japo inawezekana akawa na zinginezo ila mimi nazijua ngoma zake 4!
Would you be so kind to share them with me?
Yaani utaje Hip Hop ya bongo usimtaje Sugu kama The God Father...?G.morning everyone,
Me ni big fan wa hip-hop ya bongo, na katika research nlioifanya hii ndo list yangu ya MA mc bora wa muda wote waliowahi kutokea hapa Tanzania
1) Professor j,
Huyu jamaa anabaki kuwa no 1 kwa muda wote kutokana na uwezo wake binafsi wa Utunzi wa mashairi na uwezo wa kuandika na kusimamia kwenye Mada anayoielezea tofauti na MA mc wengine Ambao Unakuta jina LA nyimbo na maudhui ya nyimbo yanalandana, pia n mc pekee mwenye nyimbo nyingi Kali zilizogusa mashabiki wa kila Aina na ni moja ya inspirations kwa new upcoming hip-hop artists
Naweza kumuita God father wa bongo, ktk industry ya music.
2) Albert mangwea & j. Moe
Hawa jamaa kwangu wanashika no 2 kwa pa1 coz wana uwezo ambao almost unalingana, ukiangalia nyimbo km kimya kimya, kimafia. N
K waliofanya colabo Wote utagundua uwezo wao n km unafanana, achilia mbal uwezo wa ngwair kwenye free Style.. Na Utunzi wa j.moe akiwa anaelezea story. Wanabaki kuwa best rappers wa muda wote.
3) Chidibenz
Huyu mfalme wa Ilala ni mc hatari Sana,ana vocal na michano mikali sana na pia ana uwezo Mkubwa sana kwenye performance, wengi mnakumbuka enzi zake kwenye kila collabo alikua anakimbiza, Huyu km angepata manager mzur, na angepunguza kiburi jamaa Angekua Mbal sana, kwa Mimi nampa no 3 kwa ubora wake.
4) Langa & Fid q
Hawa jamaa kwa pa1 nawapa nafasi ya nne, Fid q anauwezo Mkubwa wa kuandika vitu ambavyo viko deep sana na km n mtu unayesikiliza juu juu pengine unaweza usione Au usielewe kabisa ubora wake, Langa alikua na uwezo Mkubwa sana wa ku spit kingereza na kiswahili Hakua na mistari konde Ila alikua anaandika vitu deep sana, kwa mtazamo wangu Langa na fid q wanauwezo unaofanana tofauti n kuwa Langa mpaka anatutoka Hakuwa na project nyingi lakini ukisikiliza nyimbo zake utatambua uwezo wake, my favorite line ya Huyu jamaa ni (hawanichekei usoni kisogoni wananisema wanatafuta mabaya wanajifanya Hawaoni mema).
5) Nikki mbishi (Baba Malcom)
Huyu jamaa ni mkali sana kwenye uandishi na flow anauwezo Mkubwa wa ku free style, ana punch za maana na ngoma ambazo n classic, changamoto nnayoiona kwa Huyu jamaa ni ana km kiburi flan Hv ana attitudes za ajabu ajabu km kudis wanasanii wenzake na ujuaji mwingi.. Ila ni mc hatar sana
Apart from hao top five pia wapo Mc's wengine wakali km stereo, one the incredible, Godzilla, p the mc country boy, na wengine wanaofanya vizuri
Kindly regards
Dagger-v