Shantel
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 2,018
- 1,132
Kuna wengine wanachukuana kweli baada ya harusi , ila mie sijawahi ona wivu partner wangu akisimamia harusi, nahsi ni kama ushamba tu tena nakuwa free, kuna moja mpaka niliitwa na mc kwa mic coz nilikuwa nje, na matron alichukuliwa kama huyo mwenye tshirt na sandalz,nikawahi kufungua nae, ila mie nikisimamia jamaa anapata donge sana ila haji kucheza mziki