best man na matron wa harusi mhhhh!

best man na matron wa harusi mhhhh!

Kuna wengine wanachukuana kweli baada ya harusi , ila mie sijawahi ona wivu partner wangu akisimamia harusi, nahsi ni kama ushamba tu tena nakuwa free, kuna moja mpaka niliitwa na mc kwa mic coz nilikuwa nje, na matron alichukuliwa kama huyo mwenye tshirt na sandalz,nikawahi kufungua nae, ila mie nikisimamia jamaa anapata donge sana ila haji kucheza mziki
 
mke wangu hashikwi kiuno na mwanaume mwingine, labda kama wanafungua mziki na kiduku!
 
wakuu ukiangalia harusi za siku hizi nyingi utakuta wasimamizi wa harusi sio mke na mume sasa ukifika wakati wa kufungua mziki unashtukia bestman mkewe huyu hapa kaja kuchukua mumewe na matroni na yeye mumewe huyu hapa anakuja kucheza na mkewe na mbaya zaidi unakuta saa nyingine msimamizi mmoja mwenzi wa wake wa ndoa hajaja kwenye hiyo harusi basi kwa sababu kashanyanywa patna anabaki kushanga shangaa tuu ukumbini, swali langu hivi nini hasa watu wanachofikiria hadi kumkataza mke/mume akisimamia harusi asicheze na matron au patron ambaye si mkewe? ni wivu, kutoaminiana, au kutojiamini??


Eh hii sijawahiiona mydia but kama ishafikia hivi mh si dalili nzuri. Nijuavyo mie ni kuwa kama wasimamizi wa arusi si mke na mume basi wakati wa kufungua mziki Best man haruhusiwi kushika kiuno cha Matron but anacheza wakiwoa wameshikana mikono!! Blues la mikono. Sasa hii ya kumnyang'anya Best man patner na kumwacha pekee kama mwenzi wake hayupo mh..............

Kaazi kweli kweli
 
Wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli.....
 
Eh hii sijawahiiona mydia but kama ishafikia hivi mh si dalili nzuri. Nijuavyo mie ni kuwa kama wasimamizi wa arusi si mke na mume basi wakati wa kufungua mziki Best man haruhusiwi kushika kiuno cha Matron but anacheza wakiwoa wameshikana mikono!! Blues la mikono. Sasa hii ya kumnyang'anya Best man patner na kumwacha pekee kama mwenzi wake hayupo mh..............

Kaazi kweli kweli

MJ1 mambo yapo sana tu kwenye maharusi...,nadhani drama za mapenzi zimekuwa nyingi mnoooo watu hawajiamini kabisaaaa na wanaume/wake zao!
 
MJ1 mambo yapo sana tu kwenye maharusi...,nadhani drama za mapenzi zimekuwa nyingi mnoooo watu hawajiamini kabisaaaa na wanaume/wake zao!

Nailyne haya mambo yanashangaza sana sometimes huwa ninatamani kustick as an African traditional woman kwka kweli. Mapenzi ya siku hizi na ya usasa yana drama nyingi tu. Halafu cha kushangaza tumekuwa tukivichukulia vitendo kama mapenzi- mtu akikuonyeshea wivu kwa stahili hii tunaichukulia kuwa yes watu watajua mume/mke wangu ananipenda sana kiasi cha kutotaka mtu mwingine anishike kiuno wakati wa kucheza WAKATI picha halisi inayosomeka hapa ni kuwa SIMUAMINI MWENZI WANGU ina maana Mke wa Best man anaonyesha hamwamini mume wake kuwa 'anawezamtongoza Matron- yeye ni bingwa wa kutongoza. Na mume wa Matron naye anaonyesha kuwa -Mkewe ni weak na hawezistahamili mitongozo ya watu wengine mwe!!
 
Wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli.....

yaani huo wivu ni saa ya kufungua mziki tuu,?? kama mkeo/mumeo sio mwaminifu atafanya tuu analolitaka hata ukimkataza asicheze mziki, siajabu washapeana namba za simu kwa mawasiliano zaidi, wewe kama unawivu moja mkataze asisimamie kabisa au ukimruhusu mwambie afungue mziki lakini asishiwe kiuno au kukumbatiwa vinginevyo wanaharibu sherehe jamani
 
Nailyne haya mambo yanashangaza sana sometimes huwa ninatamani kustick as an African traditional woman kwka kweli. Mapenzi ya siku hizi na ya usasa yana drama nyingi tu. Halafu cha kushangaza tumekuwa tukivichukulia vitendo kama mapenzi- mtu akikuonyeshea wivu kwa stahili hii tunaichukulia kuwa yes watu watajua mume/mke wangu ananipenda sana kiasi cha kutotaka mtu mwingine anishike kiuno wakati wa kucheza WAKATI picha halisi inayosomeka hapa ni kuwa SIMUAMINI MWENZI WANGU ina maana Mke wa Best man anaonyesha hamwamini mume wake kuwa 'anawezamtongoza Matron- yeye ni bingwa wa kutongoza. Na mume wa Matron naye anaonyesha kuwa -Mkewe ni weak na hawezistahamili mitongozo ya watu wengine mwe!!

i totally agree with u.., its a sign of weakness na kutokujiamini , na pia kuiga mambo-usasa- kusikuwa- na mpangilio, kwa vile kwenye harusi ya fulani matroni mumewe alikuja kucheza nae so wanadhani hiyo ndio fashion kumbe wanachofanya ni kuutangazia umati weakness zao.
 
Nailyne... if your man or woman is around... Why would you want to dance with another??
Kwani kuna ubaya gani patron na matron wasiwe mume na mke?
Au ndio unakuta Patron anaendana na Bw. Harusi lakin wake zao hawaendani ndio atafutwe Matron mwingine?
Ni lazima waendane kimaumbo kwanza?
Ndo maana mi niponipo sana tu,
Sitaki kukurupuka sababu sitaki kuumia
 
Kwani kuna ubaya gani patron na matron wasiwe mume na mke?
Au ndio unakuta Patron anaendana na Bw. Harusi lakin wake zao hawaendani ndio atafutwe Matron mwingine?
Ni lazima waendane kimaumbo kwanza?
Ndo maana mi niponipo sana tu,
Sitaki kukurupuka sababu sitaki kuumia

shark hilo nalo neno, lakini kuna mambo mengi yanachangia, zamani dini zilikuwa strict kuhusiana na suala hili,wasimamizi lazima wawe mke na mume,watu walikuwa wanasimamiwa harusi na watu hata hajuani nao sana ili mradi kutimiza masharti ya dini, lakini siku hizi ni zaidi ya dini, economic factor pia inachangia,ukiwa msimamizi wa harusi uje gharama za nguo,viatu juu yako,wachache wananuliwa na maharusi,bado mchango hamjatoa!! kingine unaweza ukampata best man mkewe mara akawa ni mja mzito, au katoka kujifungua, au mke na muwe hawaishi mkoa mmoja, na usasa pia unachangia kila mtu anataka asimamiwe na best friend wake bi harusi anamtaka rafiki yake bwana harusi na yeye anamtaka best wake pia..upo!
 
<br />

Nilisimamia harusi tatu bila mume wangu, kwenye ya kwanza mke wa bestman aliinsist kufungua naye mziki, akiwa amekiacha kitoto cha mwezi mmoja ili kumstalk bwana harusini..luckly my husband was around

Kwenye ya pili mke wa bestman aliingia katikati ya dance na kumvuta mume wake na kukata mauno hadi chini kwenye mziki wa kawaida tu, it was such a huge embarrasment to the wedding actually, luckly mdogo wangu alikuwa one of the bridegroom mates so nikadance naye to the end

Ya tatu the bestman's wife was a friend and wedding went well

Solution: I only agree if they request me and my husband, but I fail to understand public dance insecurity!
Mimi na Mke wangu tumekubalina mtu akitaka tusimamie harusi yake lazima tuwe wote na gharama tunajibebea wenyewe basi. Hakuna mimi kwenda pekee yangu au yeye pekee yake, full stop
 
shark hilo nalo neno, lakini kuna mambo mengi yanachangia, zamani dini zilikuwa strict kuhusiana na suala hili,wasimamizi lazima wawe mke na mume,watu walikuwa wanasimamiwa harusi na watu hata hajuani nao sana ili mradi kutimiza masharti ya dini, lakini siku hizi ni zaidi ya dini, economic factor pia inachangia,ukiwa msimamizi wa harusi uje gharama za nguo,viatu juu yako,wachache wananuliwa na maharusi,bado mchango hamjatoa!! kingine unaweza ukampata best man mkewe mara akawa ni mja mzito, au katoka kujifungua, au mke na muwe hawaishi mkoa mmoja, na usasa pia unachangia kila mtu anataka asimamiwe na best friend wake bi harusi anamtaka rafiki yake bwana harusi na yeye anamtaka best wake pia..upo!
Kwangu mimi kuepusha mambo yasiyo ya lazima anayetaka niwe bestman lazima pia niwe na Mke wangu zaidi ya hapo hakuna nafasi hiyo kwetu
 
Back
Top Bottom